bado unataka kuendeleza uzushi?Hahaaaaaaa sasa si umeona ya TMK ilikuwa kweli ndo maana sijapelekwa selo
yaani mimi ndo nimekumiss mno mlongo wangu, lakini nikajua tu mambo ya sikukuu haya teja limebana, lol!nakumisije sasa!HERI YA MWAKA MPYA DADA MKUBWA!
nakumisije sasa!HERI YA MWAKA MPYA DADA MKUBWA!
Thanks Kipipi,
Heri ya mwaka mpya na wewe
bado unataka kuendeleza uzushi?
utalala selo tena ujue
Teh niko poa kabisaa na nilipokuona nimejawa na furaha mara mbili.
Copy kwa nitonye na Vin Dieselhuu ni uchokozi................. na sasa naamini ban yangu ilikuwa na mkono wa mtu ili sweetlady asini PM
Teh niko poa kabisaa na nilipokuona nimejawa na furaha mara mbili.
Hope zile stress za mwaka mpya umeshazisahau na umepona kwa sasa eeh
Karibu kwenye ulimwengu wa furaha achana na stress za walimwengu.
Wasiliana na manoah kagundua dawa!