Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Hah hah hah hah hah! Nimekuingiza mjini! Hujui kwamba ulikuwa unawasiliana na mimi!? Lol...

hahahaha. Unajipa mahope? Nimeshawasliana naye kwa Skype, Cmu, Pm n.k. Na kesho ntakuwa Arusha kwa ajili ya kuonana naye
 

Mr Rocky juhudi zote za kukuwekea na picha ya Kipipi ni kwa ajili ya ile bahasha yako ya madolare......... bado napambana, PM ya mwisho ya Kipipi inamatumaini kwako, ila Erickb52 nasikia ametoa ATM card kwa Kipipi, labda aje kukanusha hapa[/QUOTE]

Mungi kwa taarifa yako ATM ya Erickb52 haina hata shilingi yaani ni boya tuu
We endelea kufanya mambo yako bana bahasha nyingine inakuja hapa ya madolari
Preta it seems kuwa naandika na wino mweusi aise hata maandishi hayaonekani
sweetlady yaani napata brain konkosheni hapa ninavyokumiss aise
 
Last edited by a moderator:
hahahaha. Unajipa mahope? Nimeshawasliana naye kwa Skype, Cmu, Pm n.k. Na kesho ntakuwa Arusha kwa ajili ya kuonana naye

mawasiliano yote tulikuwa nae sitting room. Skype uliongea na housegirl!
 
wewe Kivumah.....nakuona saa nyingi sana unafuatilia trip....unaenda.....huendi.....?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
jombaa mchakato mzima si huo hapa umeainishwa na mtoa uzi.....unataka nini tena.......au huna pea....?

Pea haimati hapa hivi hujui nina mpango wa kuwa singo forever

Anyway nilikuwa namaanisha nani wa kuwasiliana nae maana hata tarehe zenyewe hazieleweki mara 26 mara 28
 
Pea haimati hapa hivi hujui nina mpango wa kuwa singo forever

Anyway nilikuwa namaanisha nani wa kuwasiliana nae maana hata tarehe zenyewe hazieleweki mara 26 mara 28

Ni tarehe 28 Mkuu! Ila hiyo habari ya forever ungemwambia sweetlady maana Preta sio kiiivo! Lol
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…