Kilichonichanganya eti marejesho amekaguliwa na watu wawili babu Asprin na Nicas Mtei bila kujuana.................. kweli marejesho ni zaidi ya kitu chenye ncha kali
mkuu babu Asprin alikagua kwa macho Nicas Mtei kwa kitu chenye ncha kisichokuwa na meno
Kilichonichanganya eti marejesho amekaguliwa na watu wawili babu Asprin na Nicas Mtei bila kujuana.................. kweli marejesho ni zaidi ya kitu chenye ncha kali
Hivi Nicas Mtei+Mungi kweli hawata baki Tanga kweli maana kule kama kunasa kule wana ganda!
Eti anakuchungulia wewe kujua kama ushabukiwa hahaaaaa
Hivi Nicas Mtei+Mungi kweli hawata baki Tanga kweli maana kule kama kunasa kule wana ganda!
Dar kubwa. Filipo ajipange
nilimfungia hadi 2013 sijui katokaje hajui ishajaa
Huyu raia kumbe bdo anamkagua Blaki Womani?
Naona kama bado yupo selo........... ameweza kuchungulia tu hahaaaaaa
atacheza namba ya guest hadi nirudi chezea lawyer wewe