Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Acha maneno mengi kwanza kesho nataka ukatembelee wenzio central polisi!
Umesikia wapi mjanja akanaswa? sie hata kule ughaibuni tunakula unanawa....... hakuna kunasa hahaaaa
 
Huyo ndio bwana mdogo kabisa hata usimuhofie kwanza nimempiga mkwara hadi kasema hata Tanga hawezi kwenda maana nilimwambia akija na msicha nitampola akaona bora asiende kabisa!

Lawyer Ruttashobolwa andaa mazingira ya kumweka selo Arushaone asijekuchafua utamu wa Tanga kunani
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…