Umesikia wapi mjanja akanaswa? sie hata kule ughaibuni tunakula unanawa....... hakuna kunasa hahaaaa
Umesikia wapi mjanja akanaswa? sie hata kule ughaibuni tunakula unanawa....... hakuna kunasa hahaaaa
alizoea jiji la ARchagaaaa kumbe bongo unapokea cheni bandia unatoa pesa bandia
Lawyer Ruttashobolwa andaa mazingira ya kumweka selo Arushaone asijekuchafua utamu wa Tanga kunani
Acha maneno mengi kwanza kesho nataka ukatembelee wenzio central polisi!
Huyo ndio bwana mdogo kabisa hata usimuhofie kwanza nimempiga mkwara hadi kasema hata Tanga hawezi kwenda maana nilimwambia akija na msicha nitampola akaona bora asiende kabisa!
Namtafutia Ruttashobolwa vifungu vya kisheria kumsaidia Arushaone atoke selo
Hakuna chalii wakumkagua black wangu hapata kalika!
Huyo ndio bwana mdogo kabisa hata usimuhofie kwanza nimempiga mkwara hadi kasema hata Tanga hawezi kwenda maana nilimwambia akija na msicha nitampola akaona bora asiende kabisa!
Ruttashobolwa anafanya nini huku? selo inamhusu huyo bushiloya. Arushaone popote ulipo mkuu tokelezea banaatoke kwenda wapi maandalizi yashaanza Ruttashobolwa nipo naye machinga complex NMC kwa manunuzi ya viwalo vya mtoko
Madam B alikuwa anamtongoza my hubby kumsaidia bure kesi ya mtalaka wake Nicas Mtei futa kauli yakoMhe Loya Ruttashobolwa umehamia Chuga? Madame B umemuacha?
Ruttashobolwa anafanya nini huku? selo inamhusu huyo bushiloya. Arushaone popote ulipo mkuu tokelezea bana
Arushaone yupo kwenye kikao cha dharura, Ruttashobolwa atakachofanyiwa ataipenda arachuga hahahaaaaakicheza twamzulia kesi ya mauaji amulize Mungi
Arushaone yupo kwenye kikao cha dharura, Ruttashobolwa atakachofanyiwa ataipenda arachuga hahahaaaa
Madam B alikuwa anamtongoza my hubby kumsaidia bure kesi ya mtalaka wake Nicas Mtei futa kauli yako
Sifuti kauli.