Hahahaha! Namshangaaaa!
Da itakuwa poa sana ngoja tujipange JF MORO wapi?mkuu.....nadhani kuna watakaokuwa wanatoka huko....updates zitawekwa hapa....stay tuned.......
Ha ha ha ha! Acha uwe klozidi manake mnamchafua 'rahisi' wa inji lol.Wamshangaa nini sweetlady? Kamshangae Nicas Mtei alivyobatiza karibu JF wote eti ni watoto wa m.k.we.rrr niliposema naye ni wale wale uzi ukawa klosed! ukistaajabu ya JF utayaona ya CC!
Heeeeeeeeeeeeeee!
Hahahaha! Unalo shosti. Kwani wewe unajua Filipo anamtafutia nini? Bora ukubaliane na St. Paka Mweusi angalau ujiliwaze wakati Filipo akimtafuta YNNAHHalafu Filipo umesahau kwamba tulifundishwa tusitumie tena 'MIMI' bali tutumie 'SISI'?
Mwambie tutamtafuta tukiwa njiani!!!!!
point taken Kipipi