mossad007
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,165
- 852
Nilidhani baada ya Miaka takribani 41 since makosa yaliyofanyika baada ya matokeo ya Ugaidi kule Munich 1972 kwenye Winter Olympic Games Kenya watakua wamejifunza namna ya kukabiliana na ugaidi lakini wenzetu bado sana.
Kuna vipengele vichache ambavyo Ujerumani ilivikosea na kusababisha Wanariadha 11 wa Kiisrael kupoteza maisha na leo nashuhudia Kenya wakirudia kitu kile kile.
1. Role of Media Coverage
Kutokana na kukua kwa Uhuru wa Habari kwa wenzetu ( Europe ) baada tu Kikundi cha Black September kuwateka wanamichezo wa kiisrael media zilifurika nje ya Apartment waliyotekwa na kuanza kuripoti mwenendo mzima wa tukio. Ndani ya zile apartment kulikua na tv ambazo wale magaidi walikua wanaona na kufuatilia kila kitu. Matokeo yake Rescue Mission ya kwanza iliyopangwa na Polisi (hawakua na counter terrorism unit kipindi hicho) ikawa inapigwa picha live na wale magaidi wanona ni nini kinaendelea.
Ilikuwa kichekesho sababu magaidi waliweza kujua polisi wako wapi na wanafanya nini kwa kupitia tv zao ndani. Mission was aborted baada ya polisi kuona asilimia za ushindi kua chache. Leo wakenya wanafanya kitu kile kile updates zote ziko on air na kwa mujibu wa mashuhuda westgate complex ina dozens of tv sets ni km pale Mliman city tu unapoingia Game!
2. Rescue Team
Kikosi kilichopelekwa kufanya Rescue kinatoka KDF: Maroon Commandos (counter terrorism Unit) ukisoma Article moja online ya hawa jamaa wamesifiwa sana kua ni total replica ya their counterparts the likes of Sayeret Matkal (israel), NAVY SEALS (USA) and SAS (UK) cz huko ndiko wanako watrain. Lakini honestly speaking hawa jamaa wako nyuma kuliko ilivyosemwa cz kwa mission km hizi choice of weapons ina matter sana.
Counter terrorism zote ndani ya majengo au vehicles including ndege hufanywa kwa priority ya Mini Assault Rifles refer operation Entebe, Spring of Youth, Air Sabena (Sayeret Matkal), Operation Barras, Iran Embassy Siege (SAS) na Operation Bin Laden, (SEALS). Mini assault rifles hapa nazungumzia the likes of Heckler and Kotch, Uzi, Mini Galil, AK-74 folding etc. Ambazo ni ndogo, fupi, hubebeka kirahisi na zina range ile ile ya Weapons za kawaida hutumika pia na Makomandoo wa JWTZ km ilivyoonekana juzi Goma na kipindi cha miaka 50 ya Uhuru pale Taifa.
Lakini nimeshangaa kuwaona KDF: Maroon Commandos wakiwa wamebeba mitutu mirefu, mizito ya M 16 na zile Ranger Rifles za kiingereza tena za kizamani kwenye mission inayowalazimu wepesi na tacktics... its so absurd. Moja kati ya vitu vilivyotolewa duku duku na kamati maalum iliyoundwa after failure in Munich Massacre ilikua ni choice of weapons baada ya Polisi wa kijerumani kutumia Rifles kubwa zinazo punguza Manurvability and accuracy na kuundwa kwa special counter terror unit.
Kwa waliopitia mafunzo watakubaliana na mimi kua Counter Terror Rescue Mission ni zaid ya Uwanja wa Vita cz huokoi maisha yako tu bali na ya mateka na mali. Hivyo SPEED, ACCURACY and TIME are key elements. Ukimkosa gaidi kwa risasi moja analipua jengo zima ni matter of seconds tu ila vitani unaweza ukamimina ile Minimi mpka mkanda ukaisha na bado usiue mtu ukawa hai na wala wewe usife mkatupiana njugu mwezi mzima lakini hii sio sawa kbsa kwenye Rescue Missions ndio maana Choice ya Weapon hata mtu wa kuifanya hiyo kazi inamata sana... nilidhani leo wakenya watakua wamejifunza.
Mwisho kwa yaliyotokea Kenya hata TZ yaweza tokea hivyo tuwe makini na Siasa zetu za Kimataifa na kuboresha Ulinzi katika nyanja zote.
POLE ZANGU KWA WAHANGA!
Kuna vipengele vichache ambavyo Ujerumani ilivikosea na kusababisha Wanariadha 11 wa Kiisrael kupoteza maisha na leo nashuhudia Kenya wakirudia kitu kile kile.
1. Role of Media Coverage
Kutokana na kukua kwa Uhuru wa Habari kwa wenzetu ( Europe ) baada tu Kikundi cha Black September kuwateka wanamichezo wa kiisrael media zilifurika nje ya Apartment waliyotekwa na kuanza kuripoti mwenendo mzima wa tukio. Ndani ya zile apartment kulikua na tv ambazo wale magaidi walikua wanaona na kufuatilia kila kitu. Matokeo yake Rescue Mission ya kwanza iliyopangwa na Polisi (hawakua na counter terrorism unit kipindi hicho) ikawa inapigwa picha live na wale magaidi wanona ni nini kinaendelea.
Ilikuwa kichekesho sababu magaidi waliweza kujua polisi wako wapi na wanafanya nini kwa kupitia tv zao ndani. Mission was aborted baada ya polisi kuona asilimia za ushindi kua chache. Leo wakenya wanafanya kitu kile kile updates zote ziko on air na kwa mujibu wa mashuhuda westgate complex ina dozens of tv sets ni km pale Mliman city tu unapoingia Game!
2. Rescue Team
Kikosi kilichopelekwa kufanya Rescue kinatoka KDF: Maroon Commandos (counter terrorism Unit) ukisoma Article moja online ya hawa jamaa wamesifiwa sana kua ni total replica ya their counterparts the likes of Sayeret Matkal (israel), NAVY SEALS (USA) and SAS (UK) cz huko ndiko wanako watrain. Lakini honestly speaking hawa jamaa wako nyuma kuliko ilivyosemwa cz kwa mission km hizi choice of weapons ina matter sana.
Counter terrorism zote ndani ya majengo au vehicles including ndege hufanywa kwa priority ya Mini Assault Rifles refer operation Entebe, Spring of Youth, Air Sabena (Sayeret Matkal), Operation Barras, Iran Embassy Siege (SAS) na Operation Bin Laden, (SEALS). Mini assault rifles hapa nazungumzia the likes of Heckler and Kotch, Uzi, Mini Galil, AK-74 folding etc. Ambazo ni ndogo, fupi, hubebeka kirahisi na zina range ile ile ya Weapons za kawaida hutumika pia na Makomandoo wa JWTZ km ilivyoonekana juzi Goma na kipindi cha miaka 50 ya Uhuru pale Taifa.
Lakini nimeshangaa kuwaona KDF: Maroon Commandos wakiwa wamebeba mitutu mirefu, mizito ya M 16 na zile Ranger Rifles za kiingereza tena za kizamani kwenye mission inayowalazimu wepesi na tacktics... its so absurd. Moja kati ya vitu vilivyotolewa duku duku na kamati maalum iliyoundwa after failure in Munich Massacre ilikua ni choice of weapons baada ya Polisi wa kijerumani kutumia Rifles kubwa zinazo punguza Manurvability and accuracy na kuundwa kwa special counter terror unit.
Kwa waliopitia mafunzo watakubaliana na mimi kua Counter Terror Rescue Mission ni zaid ya Uwanja wa Vita cz huokoi maisha yako tu bali na ya mateka na mali. Hivyo SPEED, ACCURACY and TIME are key elements. Ukimkosa gaidi kwa risasi moja analipua jengo zima ni matter of seconds tu ila vitani unaweza ukamimina ile Minimi mpka mkanda ukaisha na bado usiue mtu ukawa hai na wala wewe usife mkatupiana njugu mwezi mzima lakini hii sio sawa kbsa kwenye Rescue Missions ndio maana Choice ya Weapon hata mtu wa kuifanya hiyo kazi inamata sana... nilidhani leo wakenya watakua wamejifunza.
Mwisho kwa yaliyotokea Kenya hata TZ yaweza tokea hivyo tuwe makini na Siasa zetu za Kimataifa na kuboresha Ulinzi katika nyanja zote.
POLE ZANGU KWA WAHANGA!
