Habari za saa hizi ndugu zangu.
Nina miaka 22, ila nimekuwa na tatizo la ndoto nyevu siku 15 mfululizo sasa, nalala siwazi ngono wala mwanamke na nina kawaida ya kulala late nights nikiwa nimechoka sana still naota ndoto nyevu...!
Je tatizo ni nini?
Nifanye nini ili nisiwe naota ndoto nyevu?
Je kuna umri ambao mwanaume ndoto nyevu zinakuwa hazimpati?
Asanteni