weusi mapajani kwa kina dada

but according to my xperience hii inawakumba hasa watu wanene/wenye nyama nyingi...so i thnk to reduce body weight nayo ni approach mojawapo.
 

Acha utoto wewe, unakurupuka tu wakati hujui tatizo lililoulizwa.
 
Mwenzio ana matatizo tunajaribu kumpa ushauri, wewe unaleta masihalla na afya za watu!! Acaha utoto,jaribu kukua.

utoto ni huo uliondika hapo,
kila kitu cheusi sio fungus jaribu kuwaza nje ya box...
na sio fungus iyo...huna utafiti huna haki ya kuzungumza braza/dada
 
Hahahahahahahagahaha!! Mbav zangu mie
 
nlisikia shabu inasaidia au hata iyo baking soda na limao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…