Wew Huwa Unalisha Nin...??

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
Watu Vijijini wapo bize sana Mwaka mzima wanalisha mbuzi, kondoo, ng'ombe, kuku, bata, njiwa majani na maji na wewe upo mjini Mwaka mzima unalisha mademu chips kuku,

Mishikaki, pizza na bugger halafu mwisho wa Mwaka unarudi zako bush unataka kuchinja mbuzi.

Hapana aiseeee hii haiwezi kuwa sawa, kila mmoja achinje kile alichokuwa analisha siku zote.```

[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
 
Dah ujumbe umewafikia lakin ingependeza kama ungewambia wahusika walipokuja huko kijijin kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…