Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Unatamani ungekua mwanamke kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh hatariii Lakin nisalama. Mwanaume mwenzangu hasara roho pesa makaratasi
 
Haujakosea kitu, dada. JF imekwishajua mahitaji yako. Utawapata wengi tu... ambao wako tayari kupima na kusubiri japo juma moja. Lakini utamudu? Maana ni wengi sana.
 
Lakini si alisema hayuko tayari kwanza hadi wapeana muda kidogo na wapime? Mtoa mada siyo kwamba alikuwa hataki ila huyo kaka ndiyo alileta papara hadi mtoa mada akahisi vibaya!
 
Nipo upande wa huyo kaka kwa jambo moja tu...kukataa kupima
cutelove kupima sio jambo dogo eti,bora ingekuwa kupima malaria basi
manesi wakikosea nipate mshtuko nife kwa kweli hapana.
juzi baada ya kupima nikasema wakati nasubiria majibu ngoja nitembee kidogo ninyooshe miguu nikajikuta home
wewe huumwi, hujapungua uzito, huendeshi kifua Kiko sawa unaenda kupima ili
 
Sawa malaya mwandamizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…