Ahadi mekusamehe
Sema kama umetumiwa nauli kutoka mwanza na ukaja dsm kwa mtu ambae humjui na kuonana nae bas nimeenza kuamin wasukuma waaminifu sana sema hkna namna kama alizngua kupima bas wew rud mwanza
Alisafiri kilometa 900 kwenda kula
Sio ? [emoji38]
Na aliyeniroga hata sijui kafia mtaa gani,.loh!!!
Ndo tatizo la totozi za hapa JF, ukimzingua kidogo tu, kesho yake unakuta amekufungulia uzi wako tayari
wenye view 2k na reply 403.
## WIVUU TUUUU (gwajima's voice)!!Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Niamini mimi kwenye dunia hii hii wapo wanaume ambao wanaweza kuwagharamikia wanawake wasiowajua na bado wasiwaombe mizigo amini nakuambia mimi nimeshakutana na hao malaika live kabisaMariana unaniangusha, hivi kwa akili za kawaida tu mwanaume sio ndugu yako wala baba yako akutumie nauli utoke Mwanza kuja Dar kupiga story? Au wenzetu mnaishi dunia gani maana mie naona kama nipo Pluto.
Wanaume gani kwanza mnawaongelea labda tuanzie hapo.
Mwee! Ntakuja PM tuyajenge...Hebu tafuta kwanza wanawake wa Dar uswahilini ndio wanakufaa sana sababu una mdomo sana.
Yah hata mimi ndicho nilichoelewa hichoNgoja nimsaidie mtoa mada itakua alichukulia longtime relationship ndomana hakutaka kuvuliwa chupi kwa style hii lkn mlengwa alitaka one night stand
Hakuna mkate mgum mbele ya chai Marianah, ukiandaa mazingira ya kuliwa utaliwa tu kwahyo muwe mnajua kukwepa haya mazingira
Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Aku nina mume mie, and I don't date puppies I date dogs!
Tangu dunia inaanza hakuwahi kuwepo mwanaume wa ivo...mwenyew nawaza sipati majibu, Yaani utadhani kaka yake ndo kamtumia nauli akamwangalizie nyumba
Sio yule wa JVC, RANGE ROVER na BMW alienda akitarajia hayo akakutana na IST akakimbia [emoji23][emoji23][emoji23] sijasema ni kiduku lilo
Niamini mimi kwenye dunia hii hii wapo wanaume ambao wanaweza kuwagharamikia wanawake wasiowajua na bado wasiwaombe mizigo amini nakuambia mimi nimeshakutana na hao malaika live kabisa
Halafu ulipotelea wapi hizi siku mbili tatu? Au umemkaribisha mwanafamilia mpya duniani ndiyo upo unamlea?
Ndio sifa eti kwao nascreen short zitawekwaHivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aku nina mume mie, and I don't date puppies I date dogs!