Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

cutelove, Una huduma gani za ziada mpaka unatumiwa nauli ya Mwanza-Dar?

Kwahiyo unadanga mkuu?[emoji124][emoji124]
 
Dah,bora alikukosa,maana nisingevumilia kuchapiwa future yng...
Anyway Leo ukuje uhuru Street bibie.
 
Uzuri wa humu wa Mambo Kama haya huwa yanaishia humu cutelove karibu Sana pm nami nami trend πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™†
 
cutelove me nko teari kupima na nko karibu na mwanza nkikufata pm usiniwekee ngumu bas
 
Huu ni Uongo ulitoka Mwanza mpaka Dar mkaonane kwani hakuna Video call muonane kwa Video kama ulitoa Mbunye Mikoani huko kuileta mjini basi ni uhakika Iltafunwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…