Wewe kama una sherehe yako peleka kijijini kwenu huko siyo unazuia barabara

Kawaida hizo ni sherehe za watu duni kiakili, kimwili na kiimani, wanao patikana huku pwani.
wewe Una amka zako jumatatu mapema kukimbilia kazini, biasharani wenzio, tangu juzi wamefunga turubai, na maspika, na nyimbo zao za hoyvo na kelele nyingi.
Wako kinamama watu wazima wakijifunua huku na kule bila kujali uwepo wa watoto, viko vizee vile vya ccm, choka mbaya ndio wageni wa heshima.
Lazima awepo mwanamuziki mwenye misamiati mingi ya kiswahili swahili yenye mafumbo na matusi ya kisasa.
Na ili shughuli inoge lazima mashoga wawepo.
 
Inakera sana
 
Wewe kama una sherehe yako peleka kijijini kwenu huko siyo unazuia barabara kwa kuweka miturubai kisa una sherehe si ungenunua eneo kubwa ili ujitosheleze hii tabia imekithiri kwenye hili jiji la maji chumvi
KOBAZI wasome.
 
Ni wapi huko nije 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…