Wewe Kiongozi wa Klabu moja Kubwa na hao Makomandoo wako Watatu kaeni mbali na Uwanja msije Kutulaumu wana Simba sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tunajua Hoteli uliyofikia, Viongozi wa hiyo Klabu unaowasiliana nao na hao Makomandoo wako ulioambatana nao na ambao Wanawasaidia hao Wanafiki na Marafiki zenu mnaowasaidia kwa tukio la leo Jioni hivyo kuwa / kuweni makini sana.

Wana Simba tunajua kuwa leo tunacheza na Timu Tatu ( 3 ) na upo Mpango wa Wachezaji wetu Chama, Ngoma, Ntibanzokinza, Onana na Chemaloni Kuumizwa vibaya ili Kutudhoofisha na wakose Mechi ya African Football League ( AFL ) dhidi ya Al Ahly SC tarehe 20, Oktoba 2023.

Kwetu Sisi wana Simba tunajua kuwa Mechi ya Leo na hao Wanafiki mnaowasaidia ni Ngumu na ndiyo maana tumeamua Kujipanga nayo ndani na nje ya Uwanja hivyo kama unajua uko huo Mkoa kwa ajili ya Kuihujumu Simba GENTAMYCINE nakuomba ondoka sasa hivi huo Mkoa au Usithubutu kabisa baadae kusogea Uwanjani ili lisije kukuta la kukukuta kisha ukalaumu au ukatulaumu.

Nimemaliza.
 
Ni tahira tu ndio anaweza kuwa sehem ya utahira huu wako popoma a.k.a pure talented popoma!!, Huyu Ngoma ana msaada gani kwenye timu? Afadhali avunjwe Kibu, Mzamiru na Boko kuliko Saido na Ngoma😅
 
Wewe utakuwa na udumavu wa akili. Siyo bure.
 
Usitafute pa kujifichia pambaneni na Hali yenu mnacheza na singida fountain gate na sio Tanzania prison, UGUMU wa matokeo mnaujua ndio maana mnaanza kujiliza hapa, timu iliyojiandaa vizuri ndiyo itashinda na sio vinginevyo
 
Ngumu sana mwenyekiti awe mangungu, halafu Walio mchagua kama sample yao wawe na akili.
Popoma ni mwakilishi wetu, tunashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…