Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Wanaume tunapitia maisha magumu sana, hebu fikiria mtu ambaye anafanya kazi, mnaishi wote halafu mwanamke anakuja kuvuruga kila kitu.
Nina jamaa yangu na mkewe wanaishi wote. Huyo mkewe alikuwa anafanya kazi zamani mkoa wa Mwanza na sasa hivi inasemekana amepata kazi Dar es Salaam hivyo kuhama kutoka Mwanza mpaka kuja kuishi jijini hapa.
Sasa yule jamaa yangu alisafiri zaidi ya mwezi akarudi, sasa nilivyomuona nikapata mshangao, kulikoni mbona amekuwa hivi, yaani mtu mchafu, hata anachoongea hakieleweki. Basi tukaachana.
Kesho yake akaja na mabegi mawili ya nguo, akayaweka ofisini kwetu, akasema anaelekea Morogoro lakini huyo mtu hana hata mia ya nauli.
Ghafla nikamuona ofisini mtu ana vumbi mwili mzima, sasa kwa wale watu wanaokesha wanasema alifika tokea saa saba usiku, alikaa hapa mpaka mnamkuta asubuhi hii.
Kwa kweli jamaa amechafuka, nikaanza kumuhoji nini kina msibu mpaka kufikia hatua hii?
Jamaa anasema ni mwanamke wake, anamnyima chakula, kulala, yaani hawana mawasiliano yeyote. Akazidi kuniambia ninavyomuona tokea atoke safari kwake hakuendeki ila anazurura, kula ndio kama hivyo tunamnunulia chakula.
Huyu jamaa anasema mbaya zaidi hela za benki huyu mwanamke katoa, gari kazuia, yaani hata hajui pakuanzia.
Kwa kifupi jamaa amechanganyikiwa, hata anachokiongea hakieleweki, anachokifanya hakieleweki.
Nilichogundua
Huyu alimuamini sana mkewe kiasi kwamba vitu vingi alimuandikia mkewe, hivyo mwanamke ameamua kubadilika na kumfukuza jamaa, mwishowe jamaa anajikuta hana kitu.
Wakristo tafuteni mfumo wa talaka.
Hawa watu wanapitia maisha ya hatari sana kwa jicho la tatu, huyu jamaa alisema mambo mazito sana.
Wanaume
Tuwe makini sana katika mapenzi, lolote linaweza kutokea hivyo tuwe makini katika mapenzi yetu, la sivyo unaweza fanya jambo baya sana kwa mwanamke.
Wanawake wamekuwa chanzo kikubwa sana kwenye kuharibu ndoa.
Nina jamaa yangu na mkewe wanaishi wote. Huyo mkewe alikuwa anafanya kazi zamani mkoa wa Mwanza na sasa hivi inasemekana amepata kazi Dar es Salaam hivyo kuhama kutoka Mwanza mpaka kuja kuishi jijini hapa.
Sasa yule jamaa yangu alisafiri zaidi ya mwezi akarudi, sasa nilivyomuona nikapata mshangao, kulikoni mbona amekuwa hivi, yaani mtu mchafu, hata anachoongea hakieleweki. Basi tukaachana.
Kesho yake akaja na mabegi mawili ya nguo, akayaweka ofisini kwetu, akasema anaelekea Morogoro lakini huyo mtu hana hata mia ya nauli.
Ghafla nikamuona ofisini mtu ana vumbi mwili mzima, sasa kwa wale watu wanaokesha wanasema alifika tokea saa saba usiku, alikaa hapa mpaka mnamkuta asubuhi hii.
Kwa kweli jamaa amechafuka, nikaanza kumuhoji nini kina msibu mpaka kufikia hatua hii?
Jamaa anasema ni mwanamke wake, anamnyima chakula, kulala, yaani hawana mawasiliano yeyote. Akazidi kuniambia ninavyomuona tokea atoke safari kwake hakuendeki ila anazurura, kula ndio kama hivyo tunamnunulia chakula.
Huyu jamaa anasema mbaya zaidi hela za benki huyu mwanamke katoa, gari kazuia, yaani hata hajui pakuanzia.
Kwa kifupi jamaa amechanganyikiwa, hata anachokiongea hakieleweki, anachokifanya hakieleweki.
Nilichogundua
Huyu alimuamini sana mkewe kiasi kwamba vitu vingi alimuandikia mkewe, hivyo mwanamke ameamua kubadilika na kumfukuza jamaa, mwishowe jamaa anajikuta hana kitu.
Wakristo tafuteni mfumo wa talaka.
Hawa watu wanapitia maisha ya hatari sana kwa jicho la tatu, huyu jamaa alisema mambo mazito sana.
Wanaume
Tuwe makini sana katika mapenzi, lolote linaweza kutokea hivyo tuwe makini katika mapenzi yetu, la sivyo unaweza fanya jambo baya sana kwa mwanamke.
Wanawake wamekuwa chanzo kikubwa sana kwenye kuharibu ndoa.