Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Hapo sipange mtu, bora goal libaki wazi kama hamna keppa..!Siwezi jibu sababu kwenye list yako Kindoki hayupo.
Ha ha ha ha mkuu...yule jamaa ni noma...anasema "nafunga kama Gattuso".Yupo huko tabora tz mkubwa mmoja
Dada Gea ni shati.Wewe ndio kocha, na timu yako ina magolikipa hawa wafuatao, ungemachagua nani kuanza golini kwako kutokana na fomu yake ya sasa?
1.Ter Stegen
2.Cortous
3.De Gea
4.Alisson
5.Oblak
Hapo kipa ni Oblak peke yake actually ndio ana clean sheets nyingi zaidi kuliko hao wengine msimu uliopita..... Oblak hajafungwa goli kwenye mechi 73 kati ya mechi 125 alizochezea atletico yaani 60%. Kwa ufupi labda Alison (wa msimu uliopita) ndio kidogo anamkaribia ila hao wengine hamna kitu kwa sasa.Wewe ndio kocha, na timu yako ina magolikipa hawa wafuatao, ungemachagua nani kuanza golini kwako kutokana na fomu yake ya sasa?
1.Ter Stegen
2.Cortous
3.De Gea
4.Alisson
5.Oblak