Wewe ni mkali kwenye mchezo gani?

Mimi Randy Orton Kiboko yako hehehehe.
Au AJ styles
Randy orton kwa John Cena ni mtoto mdogo tu, ona juzi randy kapigwa na Brock lesnar lakini mimi Joh Cena nilijishindia kiurahisi tu japo nilimpiga nyororo ya kichwa[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi mchezo wa kupigana kwa kutumia mawe au vipande vya tofali...mana miaka ya nyuma nilikuwa kamanda yoso..
 
Randy orton kwa John Cena ni mtoto mdogo tu, ona juzi randy kapigwa na Brock lesnar lakini mimi Joh Cena nilijishindia kiurahisi tu japo nilimpiga nyororo ya kichwa[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Hahaha
lesnar ni mtu mwingine asee, bora alo pigwa naye

Sasa wewe umepigwa na AJ mech 3 mfululizo!! [emoji23] ebu Cena kajipange na wewe khaa!
 
Mkuu karibu sana japo vipigo vimezidi
Jana Man City Bayern wamenikosesha 680k[emoji20] [emoji20] [emoji20]
Ulisahau.kua Everton wako kwenye form nzur ndio tatzo mkuu
 
Hahaha
lesnar ni mtu mwingine asee, bora alo pigwa naye

Sasa wewe umepigwa na AJ mech 3 mfululizo!! [emoji23] ebu Cena kajipange na wewe khaa!
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Kabahatisha namuachia tu yule[emoji12]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Au unataka ngumi za mtaani pia niko fresh tu, tu nazipiga ngumi za uhakika mwenye panga mwenye Nyundo mwenye mawe Yaani mtizamaji mwenyewe anaenjoy [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
 
Siitwi tena Johna Cena naitwa Undertaker[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Apo sasa tutashindwa kubishana

Huyo ni undisputed ,bak kwa sina huko huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…