Wewe ni Mlevi wa Kitu/Jambo gani?

GENTAMYCINE 365 days x... huwezi pita siku bila ku...
 
Kusoma vitabu, kusoma review na kuwa na muendelezo wa kuandika reports za research ni lazima kwenye laptop hata usiku wa manane nikikosa usingizi naanza kazi.
 
Kusoma vitabu, kusoma review na kuwa na muendelezo wa kuandika reports za research ni lazima kwenye laptop hata usiku wa manane nikikosa usingizi naanza kazi.
Interesting....
 
Kwa wanaosema simu.

Simu ina internet.

Internet ina websites.

Websites kuna ya bodybuilding forum.

Lakini kuna xvideos, pornhub, jamaicavids na world sex pia.

Ukiwa na watu simu yako inaingia bodybuilding forum.

Ukiwa peke yako simu yako inaingia xvideos & co.

Hoja yangu ni kua ukiwa na simu una advantage ya kufanya ujinga mwingi na dhambi nyingi kuliko usipokua nayo.

Mfano kuchepuka.

Ukichukua namba ya simu ya binti. Baada ya salamu ukamuuliza 'Umekula?' Akajibu 'Bado, wewe je?'

Unajua tayari hili ni bao la ushindi.

Text inayofuata ni 'Send nudes babe'

Natania...

Inayofuata ni 'Nataka nipike, weekend njoo unipe review ya upishi wangu'

Pia anayesema simu ni ulevi wake, inamaanisha pia..

Atajitenga ili apate muda na simu yake.

Hana mawasiliano mazuri na watu.

Atafanya nusu ya vitu ili kuivutia online community.

Poor communication skills.

It simply means, this person is antisocial.

Am out
 
Kudrive asee...nikiwa na kitu kinanisonga napenda niende nje ya mji, afuu peke yangu ndo narefresh na kuenjoy kinoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…