wewe ni msichana miaka 24-27? UNAHITAJI KUOLEWA MWAKA HUU?ELIMU F4 NAKUENDELEA

wewe ni msichana miaka 24-27? UNAHITAJI KUOLEWA MWAKA HUU?ELIMU F4 NAKUENDELEA

Silanda

Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
9
Reaction score
0
Kama wewe ni msichana wa umri tajwa hapo juu tuwasiliane kama unataka kuolewa mwaka huu lakini uwe mwenyeji wasingida au tabora kabisa,uwe tayari kupima,uwe tayari kutumia muda wako kujua ukweli wa mahusiano yetu na mambo mengine kama haya.uwe mrembo ili watoto wetu wasije wakachelewa kuolewa,mrefu,hujatumika sana kiasi kwamba kifuani hamna kitu,hujawahi kuzaa,uwe na akaunt facebook. tuwasiliane kwa face book andika isai utanipata. naomba uwe na mvuto jamani wadada
 
mie nna miaka 39, ni prof
nitataka uhamie Iringa, uko tayari??
 
Minaishi tabora sehemu inaitwa Usule tuwasiliane...miaka yngu 19 na nna mtoto.
 
hallow kwa umri huo utakuwa umeshaanza kugeuka jinsia im afraid.
 
Kama wewe ni msichana wa umri tajwa hapo juu tuwasiliane kama unataka kuolewa mwaka huu lakini uwe mwenyeji wasingida au tabora kabisa,uwe tayari kupima,uwe tayari kutumia muda wako kujua ukweli wa mahusiano yetu na mambo mengine kama haya.uwe mrembo ili watoto wetu wasije wakachelewa kuolewa,mrefu,hujatumika sana kiasi kwamba kifuani hamna kitu,hujawahi kuzaa,uwe na akaunt facebook. tuwasiliane kwa face book andika isai utanipata. naomba uwe na mvuto jamani wadada

Mwaga sifa zako na wewe
 
naishi tabora mjini,nina masters na nina miaka 30,ntapata nafasi?
 
Back
Top Bottom