Kama mwajili wako anakupa pesa ndogo na wewe unaendelea kukaa hapo wewe ni **********
Imetangazwa kazi,ukaapply ukaitwa kwenye interview ukapewa pesa ndogo na wewe ukajua ni ndogo basi wewe ni *******
Na kama kujitetea kwako kuongezewa hela una focus matumizi yako sio unazalisha bei gani wewe ni ****** vile vile
Kama umeajiliwa wewe ni *********
Kama mwajili wako anakupa pesa ndogo na wewe unaendelea kukaa hapo wewe ni **********
Imetangazwa kazi,ukaapply ukaitwa kwenye interview ukapewa pesa ndogo na wewe ukajua ni ndogo basi wewe ni *******
Na kama kujitetea kwako kuongezewa hela una focus matumizi yako sio unazalisha bei gani wewe ni ****** vile vile
Kama umeajiliwa wewe ni *********
no mpwa.......naangalia vijana wanavyojitaabisha.......
tatizo liko hapo.......Uncle, I am sure you're working in wrong place. Seriously, sometimes you know you're underpaid according to market and there is no option to get better job at that moment, wise people accept it, coz si sawa na kukaa bure mpaka mwisho unakuwa kibaka. Normally, the low paid salary job is used as stepping stone.
I guess you need to be *********** wise and you will see it differently.
sredi moja humu mtu kauliza atawezaje ku save 250k.......tatizo kweli.....Mpwa hii ndo bongo we angalia Trafic mshahara analipwa kiduchu lakini ananyumba ana gari na anasomesha Bongo watu hawaangalii mshahara wanaangalia watatokaje akiwa katika kitengo husika hata akilipwa laki 1 kwake poa lakini kwa mwezi anakusanya zaidi ya 1m hapo hapo