N Ngekewa JF-Expert Member Joined Jul 8, 2008 Posts 7,705 Reaction score 1,288 Jun 22, 2012 Thread starter #21 gfsonwin said: inayonafasi sana tu kama ingekuwa haina basi si ungekuta watu wanakwenda ofcn na vichupi huo ulaya? Click to expand... Hapo huwa nakanganyika, sasa tukirudi hapa kwetu, eti kuna nguo unayoweza kuitwa nguo ya heshima?
gfsonwin said: inayonafasi sana tu kama ingekuwa haina basi si ungekuta watu wanakwenda ofcn na vichupi huo ulaya? Click to expand... Hapo huwa nakanganyika, sasa tukirudi hapa kwetu, eti kuna nguo unayoweza kuitwa nguo ya heshima?