thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
HAPA BUSARA INAHITAJIKA
Mwanamke kaazima ndoo ya mpangaji mwenzake chumba cha pili ambaye ni kijana hajaoa. Alipomaliza kuoga akajifunga khanga yake moja akatoka bafuni akairudisha ndoo, alipofika ndani kwake akakumbuka amesahau nguo yake ya ndani kwenye ile ndoo, akatoka harakaharaka vilevile na khanga moja na kugonga mlango.
Jamaa akamwambia aingie ndani aichukue, anatoka tu mlangoni anakutana na mumewe anatoka kazini kamuona mkewe kavaa khanga moja na mkononi kashika nguo ya ndani.
Je, wewe ungekuwa ni mume au mchumba wake ungefanya maamuzi gani?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji267][emoji267][emoji1534]
Mwanamke kaazima ndoo ya mpangaji mwenzake chumba cha pili ambaye ni kijana hajaoa. Alipomaliza kuoga akajifunga khanga yake moja akatoka bafuni akairudisha ndoo, alipofika ndani kwake akakumbuka amesahau nguo yake ya ndani kwenye ile ndoo, akatoka harakaharaka vilevile na khanga moja na kugonga mlango.
Jamaa akamwambia aingie ndani aichukue, anatoka tu mlangoni anakutana na mumewe anatoka kazini kamuona mkewe kavaa khanga moja na mkononi kashika nguo ya ndani.
Je, wewe ungekuwa ni mume au mchumba wake ungefanya maamuzi gani?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji267][emoji267][emoji1534]