fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
hhahahahaAh kama sehem ya kujificha ni pm ... Sidhan maana kila mdada niliyecheza nae komborela zililetwa kesi nyumbani... Sitak kgmbna na mods mm
hiyhiyo itakua so komborela sasaHaa nngejificha mwenyewe maana mkiwa wawili rahisi kukamatwa
Ningejificha mwenyewe.
Mwenye kutaka kujificha na mimi aje kimya kimya lakini.
kimya kimya kwanini....watakujia na maVuvuzela sasaNingejificha mwenyewe.
Mwenye kutaka kujificha na mimi aje kimya kimya lakini.
Unakaribishwakimya kimya kwanini....watakujia na maVuvuzela sasa
Wee jifiche mm napenda kukomboa mpiraUnakaribishwa
Hivi kumbe kuna Mpira kwenye huu mchezo?Wee jifiche mm napenda kukomboa mpira
NINGEJIFICHA mwenyewe[emoji116] [emoji116] View attachment 870401
Ndio mpira wa salama au 3bombaHivi kumbe kuna Mpira kwenye huu mchezo?
Nieleweshe. ...sijakuelewaNdio mpira wa salama au 3bomba
Mpira wa salama ko*dom au 3 BombsNieleweshe. ...sijakuelewa