Akikujibu naomba nistueNimeshamuuliza mdau mmoja hapa nasubiri jibu.
Ushaharibu. ..uje uchukue mito na mashuka. ..ujiandae kwenye kochiukinitoroka hapa na leo nitalala tu,
Haina noma,moja ya mbinu za ushindi katika ni kumjua adui yako ana silaha gani kisha wewe una muandalia silaha kama zake au zaidi yake. Lengo la kupigana vita ni kushinda wala si kushindwa.Akikujibu naomba nistue
Kila la kheri mkuuHaina noma,moja ya mbinu za ushindi katika ni kumjua adui yako ana silaha gani kisha wewe una muandalia silaha kama zake au zaidi yake. Lengo la kupigana vita ni kushinda wala si kushindwa.
Hapa nipo katika kujua silaha za adu yangu kisha nijipange hata kama nikiingia katika uwanja wa mapambano nisije kujilaumu a kufedheheka.
Siwezi bibie huwa natumia Gorila War style...! Wapambanaji tunaijua vilivyo hii style.Kila la kheri mkuu
Angalia usipate mashambulizi
dadeq ushaniwahi basi me ningelinda kopo nyie mkajificheeemi ningemtafuta dadaangu NAHUJA
Siwezi bibie huwa natumia Gorila War style...! Wapambanaji tunaijua vilivyo hii style.
Unanicheka sio ?Hahahaha haya
asante, jiandae nakurudisha kwenu wiki ijayoUshaharibu. ..uje uchukue mito na mashuka. ..ujiandae kwenye kochi
ππππ yaani mdogo wangu wataka ujifiche na dadako eee?
πππ Kaka mie Kamusi nnayo. πππtuzungumze kiswahili ndugu yangu...mimi hapo umeniacha!!
amefanyaje tena?
Kwani kuna ubaya ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mdogo wangu wataka ujifiche na dadako eee?
πNa mleta Uzi mwenyewe
uje unifundishe basi dada angu maana hii lugha sio mchezo [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Kaka mie Kamusi nnayo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijakuona muda kidogo. Mzima Kaka?
Na Mimi mlipanga kujificha mwenyewe. Tungejikuta tumejificha pamoja?Ningejificha mwenyewe.
Mwenye kutaka kujificha na mimi aje kimya kimya lakini.
geti kali uyo mkuuwewe wa kishua hujawai kucheza huu mchezo lazima tukuache mataa, pole