Nilivhogundua humu kuna watu wawili wanatumia jina la makungu mmoja ni huyo aliyeko kanda ya ziwa amayedai yeye si mkuu wa wilaya na ambaye pia ni mwanamke yupo kanda ya ziwa nabanatumia makunga lakini kuna wa pili ambaye ni mkuu wa wilaya ya hai,novatus makunga yeye anatumia Nova makunga
Tunawaomba hao fast jet waje na Singida,maana tumezoea kuona vindege vidogo wakati wa uchaguzi MO akija na Nyalandu.baada ya hapo hadi itokee "viwavi jeshi" au "kueleakuelea" ndo tunaona ndege tena.