Wezi wa kuku wanachomwa kwanini mafisadi yalipoadhibiwa na Magufuli watetezi wao walifurahia

Wezi wa kuku wanachomwa kwanini mafisadi yalipoadhibiwa na Magufuli watetezi wao walifurahia

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Yaaani Kuna watu wanaiba kuku na vitu vidogo vidogo mitaani wanachomwa moto wengine kupigwa vibaya Sana iweje waliofoji vyeti washughulikiwe iwe nongwa iweje watendaji wazembe washughulikiwe iwe nongwa kwa mafisadi na watetezi wake.

Magufuli alilegeza kamba alitakiwa awe mkali zaidi na angepitisha sheria ya kunyongwa kwa majizi ya nchi hii au kupigwa risasi hadharani.
 
Unajua ukiona watu wanaiba vyakula ujue kuna shida kubwa sana. Hata wale wanaowangia mashamba yao wati wasiibe mazao ukienda pale ukala pale shambani hautodhurika ngoma sasa uende kuiba ukauze huko utapata shida sana. .

Kuhusu vyeti feki naishauri serikali iwaongezee elimu hao wenye vyeti feki. Ila hata kazi nyingine haziitaji elimu kubwa. Ndio maana siku hizi unakuta mtu ni cashier bank na ana elimu ya form four anafanya kazi vyema. Shida tu mambo mengine ya banking hajui ila kupokea na kutoa hela very easy to do.

Experience ni eliminate tosha.
 
Yaaani Kuna watu wanaiba kuku na vitu vidogo vidogo mitaani wanachomwa moto wengine kupigwa vibaya Sana iweje waliofoji vyeti washughulikiwe iwe nongwa iweje watendaji wazembe wasshughulikiwee iwe nongwa kwa mafisadi na watetezi wake...
Ben Saanane 'alipoteza' kwa kudadisi PhD fake ya Jiwe, Makonda/Bashite ni mmiliki wa vyeti fake anayefahamika dhahiri lakini hakuguswa na jizi/jambazi kuu lilipora na kuficha fedha za wizi nchi China, ni kweli kusulubu wezi wa kuku ni uonevu tunapaswa kudili na majambazi sugu japo ringleader lao limeshakufa.
 
Watu watasema tu magu alikua na sifa mbaya ila alikua n mtu asie taka shortcuts kbsa alikua amenyooka wanao mchukia walikua watu wa madili kuna mwamba kipnd cha kikwete alikua anashinda tu bar magu alivo ingia kampun yao ikabanwa mbona jamaa alifulia mtu kama huyo hawez mpenda magu kbsa ila jamaa alikua amenyooka sana aisee
 
Vipi kuhusu Bashite na Sabaya?
Watu watasema tu magu alikua na sifa mbaya ila alikua n mtu asie taka shortcuts kbsa alikua amenyooka wanao mchukia walikua watu wa madili kuna mwamba kipnd cha kikwete alikua anashinda tu bar magu alivo ingia kampun yao ikabanwa mbona jamaa alifulia mtu kama huyo hawez mpenda magu kbsa ila jamaa alikua amenyooka sana aisee
 
Back
Top Bottom