Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Ben Saanane 'alipoteza' kwa kudadisi PhD fake ya Jiwe, Makonda/Bashite ni mmiliki wa vyeti fake anayefahamika dhahiri lakini hakuguswa na jizi/jambazi kuu lilipora na kuficha fedha za wizi nchi China, ni kweli kusulubu wezi wa kuku ni uonevu tunapaswa kudili na majambazi sugu japo ringleader lao limeshakufa.Yaaani Kuna watu wanaiba kuku na vitu vidogo vidogo mitaani wanachomwa moto wengine kupigwa vibaya Sana iweje waliofoji vyeti washughulikiwe iwe nongwa iweje watendaji wazembe wasshughulikiwee iwe nongwa kwa mafisadi na watetezi wake...
Watu watasema tu magu alikua na sifa mbaya ila alikua n mtu asie taka shortcuts kbsa alikua amenyooka wanao mchukia walikua watu wa madili kuna mwamba kipnd cha kikwete alikua anashinda tu bar magu alivo ingia kampun yao ikabanwa mbona jamaa alifulia mtu kama huyo hawez mpenda magu kbsa ila jamaa alikua amenyooka sana aisee