Barabara ya Nyerere road, reli ya kuelekea Buguruni, kituo cha Treni llala kuelekea Gongolamboto, kuna vikundi mbalimbali vya wezi hasa wa miundombinu ya Shirika la umeme Tanzania TANESCO na Shirika la mawasiliano Tanzania TTCL.
Pia wanajihusisha na wizi wa mali za raia mfano vifaa vya magari, taa, sidemirow, tairi, betri na spea nyinginezo.
Pia kuna kuvunja na kuiba mali mbalimbali, nitawataja baadhi ya vijana wanaojiusisha na huo wizi hasa huu wa miundombinu Black mdogo yaani mweusi mdogo, Rafa, Zakayo kabila Mhaya, Rafael, Zakayo na Rafa ni wataalamu wa kutegua nyaya zenye moto wa umeme, Baraka, huyu ndiye mdogo kabisa, Msambaa huyu anaishi Pugu kona, Mnyaturu, Rama kimkono, Bahati Msambaa, Muha kidari (Mussa) nitaendelea kuweka majina mengine kadri nitakavyofanya uchunguzi itaende....
Pia wanajihusisha na wizi wa mali za raia mfano vifaa vya magari, taa, sidemirow, tairi, betri na spea nyinginezo.
Pia kuna kuvunja na kuiba mali mbalimbali, nitawataja baadhi ya vijana wanaojiusisha na huo wizi hasa huu wa miundombinu Black mdogo yaani mweusi mdogo, Rafa, Zakayo kabila Mhaya, Rafael, Zakayo na Rafa ni wataalamu wa kutegua nyaya zenye moto wa umeme, Baraka, huyu ndiye mdogo kabisa, Msambaa huyu anaishi Pugu kona, Mnyaturu, Rama kimkono, Bahati Msambaa, Muha kidari (Mussa) nitaendelea kuweka majina mengine kadri nitakavyofanya uchunguzi itaende....