Bibi hawez isaidia serikali hii ishu ya UMEME? it means hapo mama alikuonyesha CCTV CAMERA ZAKE... NOMA KWELI AISEEEE
Hapana hayana madhara mana unapewa kwa kipimo japo ikizid n sumuHivi hayo madawa ukinywa hayaleti madhara yoyote?
labda tako lilikuchanganyaNiliamini uchawi upo baada ha kumpenda single maza mmoja hana mbele wala nyuma,, yaani ni mhuni, kibung'o
Ila ndio nikafa na kuoza