WFP yasema watu Milioni 2.4 kukabiliwa na baa la njaa nchini Kenya

WFP yasema watu Milioni 2.4 kukabiliwa na baa la njaa nchini Kenya

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, linasema watu Milioni 2.4 wapo katika hatari ya kukabiliwa na baa la njaa nchini Kenya kufikia mwezi Novemba.

Tahadhari hii imetolewa wakati huu maeneo ya Kaskazini na Mashariki mwa nchi hiyo yakiendelea kukabiliwa na ukame.
WFP inasema, hali inatarajiwa kuwa mbaya na ni mara tatu zaidi ikilinganishwa na hali ilivyokuwa mwaka uliopoita, wakati watu 852,000 waliporitiwa kukabiliwa na baa la njaa.

Shirika hilo sasa linaomba msaada wa Dola Milioni 139 kusaidia kukabiliana na majanga kama haya, lakini mpaka sasa ni Dola Milioni 28 ndio zilizopatikana kutoka kwa wahisani. Taifa hilo la Afrika Mashariki katika miaka ya hivi karibuni, imekabiliwa na majanga kma uvamizi wa nzige mwaka 2019, lakini pia ukosefu wa mvua ya kutosha kati ya mwaka 2020 na 2021.

Mwezi Septemba, rais Uhuru Kenyatta, alitangaza ukame kama janga la kitaifa huku mamilioni ya watu wakiendelea kukabiliwa na baa la njaa na kueleza kuwa serikali yake imetenga Dola Milioni 18 kuwasaidia wanaoathirika.
 
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, linasema watu Milioni 2.4 wapo katika hatari ya kukabiliwa na baa la njaa nchini Kenya kufikia mwezi Novemba.

Tahadhari hii imetolewa wakati huu maeneo ya Kaskazini na Mashariki mwa nchi hiyo yakiendelea kukabiliwa na ukame.
WFP inasema, hali inatarajiwa kuwa mbaya na ni mara tatu zaidi ikilinganishwa na hali ilivyokuwa mwaka uliopoita, wakati watu 852,000 waliporitiwa kukabiliwa na baa la njaa.

Shirika hilo sasa linaomba msaada wa Dola Milioni 139 kusaidia kukabiliana na majanga kama haya, lakini mpaka sasa ni Dola Milioni 28 ndio zilizopatikana kutoka kwa wahisani. Taifa hilo la Afrika Mashariki katika miaka ya hivi karibuni, imekabiliwa na majanga kma uvamizi wa nzige mwaka 2019, lakini pia ukosefu wa mvua ya kutosha kati ya mwaka 2020 na 2021.

Mwezi Septemba, rais Uhuru Kenyatta, alitangaza ukame kama janga la kitaifa huku mamilioni ya watu wakiendelea kukabiliwa na baa la njaa na kueleza kuwa serikali yake imetenga Dola Milioni 18 kuwasaidia wanaoathirika.
Wakati jamii ya kimataifa inasugua kichwa ni vipi isaidie wakenya kupata mahindi ili wasife njaa, wakenya wenyewe wanafikiria namna ya kula zaidi vyakula vya bure jambo ambalo limemwezesha mwanaume mmoja nchini Kenya kugundua mashine ya kupika ugali.
 
Kenyatta Mungu anakuona, yaani mahela yote yale unashindwa hata kuwanunulia chakula ndugu zako kule Kenya. Yaani unaona raha watu wako wakifa njaa huku ukiwa na mahela chungu mzima kwa wazungu. Tubu na umrudie Mungu, maana hakuna dhambi mbaya kama kuona mwenzako anakufa njaa, huku ukiwa na uwezo wa kumsaidia, lakini wewe ukiwaangalia tu na kusema poleni jamani, jitahidini kupambana na hali yenu.
 
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, linasema watu Milioni 2.4 wapo katika hatari ya kukabiliwa na baa la njaa nchini Kenya kufikia mwezi Novemba.

Tahadhari hii imetolewa wakati huu maeneo ya Kaskazini na Mashariki mwa nchi hiyo yakiendelea kukabiliwa na ukame.
WFP inasema, hali inatarajiwa kuwa mbaya na ni mara tatu zaidi ikilinganishwa na hali ilivyokuwa mwaka uliopoita, wakati watu 852,000 waliporitiwa kukabiliwa na baa la njaa.

Shirika hilo sasa linaomba msaada wa Dola Milioni 139 kusaidia kukabiliana na majanga kama haya, lakini mpaka sasa ni Dola Milioni 28 ndio zilizopatikana kutoka kwa wahisani. Taifa hilo la Afrika Mashariki katika miaka ya hivi karibuni, imekabiliwa na majanga kma uvamizi wa nzige mwaka 2019, lakini pia ukosefu wa mvua ya kutosha kati ya mwaka 2020 na 2021.

Mwezi Septemba, rais Uhuru Kenyatta, alitangaza ukame kama janga la kitaifa huku mamilioni ya watu wakiendelea kukabiliwa na baa la njaa na kueleza kuwa serikali yake imetenga Dola Milioni 18 kuwasaidia wanaoathirika.
Mwezi Septemba, rais Uhuru Kenyatta, alitangaza ukame kama janga la kitaifa huku mamilioni ya watu wakiendelea kukabiliwa na baa la njaa na kueleza kuwa serikali yake imetenga Dola Milioni 18 kuwasaidia wanaoathirika.

Hope ulielewa taarifa, ni tahadhari kwa serikali, na serikali ya Kenya, yenye nchi wa uchumi mkubwa ukanda huu na kati, wenye pato mara mbili ya Tanzania imejipanga sawa sawa., kama ilivyo andikwa 👆 copy paste kutoka kwa hiyo taarifa yenye umepost humu, na bado pia governors wametenga zaidi ya billioni moja na nusu ya Kenya(Kshs)sio Tshs, ili kukabiliana na hii crisis,.., jiulize wewe, jee janga hili lingetokea nchi yenu fukara serikali yenu na propaganda kibao ingeweza kuwakomboa watu wake kweli?..,uchumi ni mdogo na hafifu, weak revenue, yani pato ni finyu sana ukilinganisha na ukubwa na idadi ya watu, yaani wengi wenu mko hovyo zaidi, hamuna faida kwa serikali wala Tanzania, hii taarifa kuhusu Kenya msiitumie kujiliwaza, ila jihurumieni na mshukuru Mungu halijawapata la sivyo nyote mnaeza mkahama nchi. 😂 😂 😂
 
Failed State

Watakuja hapa wanasema zaidi ya nusu ya nchi yetu ni jangwa. Wakunya mbona huwa mnapewa msaada wa chakula na UAE. Kati ya UAE na Kenya wapi kuna jangwa?

Tukiwaambia mna uchumi wa kwenye makaratasi mtuelewe basi.
 
Mwezi Septemba, rais Uhuru Kenyatta, alitangaza ukame kama janga la kitaifa huku mamilioni ya watu wakiendelea kukabiliwa na baa la njaa na kueleza kuwa serikali yake imetenga Dola Milioni 18 kuwasaidia wanaoathirika.

Hope ulielewa taarifa, ni tahadhari kwa serikali, na serikali ya Kenya, yenye nchi wa uchumi mkubwa ukanda huu na kati, wenye pato mara mbili ya Tanzania imejipanga sawa sawa., kama ilivyo andikwa [emoji115] copy paste kutoka kwa hiyo taarifa yenye umepost humu, na bado pia governors wametenga zaidi ya billioni moja na nusu ya Kenya(Kshs)sio Tshs, ili kukabiliana na hii crisis,.., jiulize wewe, jee janga hili lingetokea nchi yenu fukara serikali yenu na propaganda kibao ingeweza kuwakomboa watu wake kweli?..,uchumi ni mdogo na hafifu, weak revenue, yani pato ni finyu sana ukilinganisha na ukubwa na idadi ya watu, yaani wengi wenu mko hovyo zaidi, hamuna faida kwa serikali wala Tanzania, hii taarifa kuhusu Kenya msiitumie kujiliwaza, ila jihurumieni na mshukuru Mungu halijawapata la sivyo nyote mnaeza mkahama nchi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mungu atakulaani kwa huu uharo ulioandika hapa

Uchumi mkubwa mavi! Huku wanachi wanakufa njaa?
 
Mungu atakulaani kwa huu uharo ulioandika hapa

Uchumi mkubwa mavi! Huku wanachi wanakufa njaa?
wangapi wamekufa, tuanzie hapo...,

Elewa, Mungu halaani watu wewe kilaza, anapenda binadamu kupindukia, na wanadamu kama wewe ndio wapumbavu kutojua hili, wachana na dini wewe, ni kitu ovyo sana kuwai tokea duniani.,
 
wangapi wamekufa, tuanzie hapo...,

Elewa, Mungu halaani watu wewe kilaza, anapenda binadamu kupindukia, na wanadamu kama wewe ndio wapumbavu kutojua hili, wachana na dini wewe, ni kitu ovyo sana kuwai tokea duniani.,
Nyie ndio mtaji mkuu wa familia ya Kenyata kuendelea kuhodhi rasilimali za nchi huku raia wa kawaida kule vijijini wakifa kwa njaa?

Hivi unafikiri Kenya ni hapo Nairobi tu?
 
Nyie ndio mtaji mkuu wa familia ya Kenyata kuendelea kuhodhi rasilimali za nchi huku raia wa kawaida kule vijijini wakifa kwa njaa?

Hivi unafikiri Kenya ni hapo Nairobi tu?
Mbona sipati jibu? wangapi wamekufa?
Na kwa sasa nani ana hodhi rasilimali za nchi? umeona Kenyatta akiendelea kuhodhi kweli ama inaitwa historical injustices, yalio pita, sasa ungesema ni ufisadi tu ndio tatizo na sio Kenyatta wala Moi., hauijui Kenya wewe, kazi yenu ni kukurupuka tu humu vile mnaamini nyinyi, mnatamani kuiona ama mnataka kuamini Kenya iko na matatizo kubwa sana.., tembelea miji ya kenya wacha ushamba
Kenya sio Nairobi hilo tunajua, ni nyinyi mnadhjani Kenya ni Nairobi, na pia isolated cases sio kenya yoote.., tembelea miji na vijiji vva Kenya, haya ni machache tu.., dunia ya leo mtu hakudanganyi, so wacha kujidanganya









 
Mbona sipati jibu? wangapi wamekufa?
Na kwa sasa nani ana hodhi rasilimali za nchi? umeona Kenyatta akiendelea kuhodhi kweli ama inaitwa historical injustices, yalio pita, sasa ungesema ni ufisadi tu ndio tatizo na sio Kenyatta wala Moi., hauijui Kenya wewe, kazi yenu ni kukurupuka tu humu vile mnaamini nyinyi, mnatamani kuiona ama mnataka kuamini Kenya iko na matatizo kubwa sana.., tembelea miji ya kenya wacha ushamba
Kenya sio Nairobi hilo tunajua, ni nyinyi mnadhjani Kenya ni Nairobi, na pia isolated cases sio kenya yoote.., tembelea miji na vijiji vva Kenya, haya ni machache tu.., dunia ya leo mtu hakudanganyi, so wacha kujidanganya









Pumbavu!

Kwahiyo wakazi wa kibera wanakula hizi porojo zako hapa?
 
Mbona sipati jibu? wangapi wamekufa?
Na kwa sasa nani ana hodhi rasilimali za nchi? umeona Kenyatta akiendelea kuhodhi kweli ama inaitwa historical injustices, yalio pita, sasa ungesema ni ufisadi tu ndio tatizo na sio Kenyatta wala Moi., hauijui Kenya wewe, kazi yenu ni kukurupuka tu humu vile mnaamini nyinyi, mnatamani kuiona ama mnataka kuamini Kenya iko na matatizo kubwa sana.., tembelea miji ya kenya wacha ushamba
Kenya sio Nairobi hilo tunajua, ni nyinyi mnadhjani Kenya ni Nairobi, na pia isolated cases sio kenya yoote.., tembelea miji na vijiji vva Kenya, haya ni machache tu.., dunia ya leo mtu hakudanganyi, so wacha kujidanganya









[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pumbavu!

Kwahiyo wakazi wa kibera wanakula hizi porojo zako hapa?
Wakazi wa Kibera ni Kenya yote?., niondolee hizi fikra zako za kipuzi., kila nchi ina matako yake., haimaanishi matako ni nchi yote., ila Tanzannia ni fukara kwa ukubwa sana., angalia hiyo Dar yenu ukubwa wake ni nini.., jiangalieni sana., jichunguze mko na matatizo ya ki ukoo.,
 
Wakazi wa Kibera ni Kenya yote?., niondolee hizi fikra zako za kipuzi., kila nchi ina matako yake., haimaanishi matako ni nchi yote., ila Tanzannia ni fukara kwa ukubwa sana., angalia hiyo Dar yenu ukubwa wake ni nini.., jiangalieni sana., jichunguze mko na matatizo ya ki ukoo.,
WFP inasema watu milioni kadhaa watakabiliwa na balaa la njaa!

Kenyata kaficha mabilioni kadhaa njee ya nchi..

Alafu wewe unakuja hapa na uharo wa picha za majengo?

Hivi una akili kweli? Utakula hayo majengo?
 
WFP inasema watu milioni kadhaa watakabiliwa na balaa la njaa!

Kenyata kaficha mabilioni kadhaa njee ya nchi..

Alafu wewe unakuja hapa na uharo wa picha za majengo?

Hivi una akili kweli? Utakula hayo majengo?
Did it say they will face or are at risk of facing? yaani hypothesis., niliskia masoma Tanzania ni bure, shule ya msingi na secondary, kindly pitia huko kidogo, tutaelewana tu.,
Kenyatta kuficha ni shida yangu ama yako?., aliweka tokea lini? how does it affect Kenya? viongozi wa dunia na matajiri wametajwa na hiyo ni kawaida kwa vile ni tax havens., so Tony Blair kaficha pesa za UK pia? ama Putin? mbona unaangalia ya Kenya tu, pambaneni na ufukara wa kwenu ilio kita mizizi tokea mababu zenu sasa nyie vitukuu bado mko pale pale kifikra..,
 
Ila Uhuru anaendelea kujinenepea 🤣
20211006_093035.jpg
 
Did it say they will face or are at risk of facing? yaani hypothesis., niliskia masoma Tanzania ni bure, shule ya msingi na secondary, kindly pitia huko kidogo, tutaelewana tu.,
Kenyatta kuficha ni shida yangu ama yako?., aliweka tokea lini? how does it affect Kenya? viongozi wa dunia na matajiri wametajwa na hiyo ni kawaida kwa vile ni tax havens., so Tony Blair kaficha pesa za UK pia? ama Putin? mbona unaangalia ya Kenya tu, pambaneni na ufukara wa kwenu ilio kita mizizi tokea mababu zenu sasa nyie vitukuu bado mko pale pale kifikra..,
Sasa kama unaona Kenyata kuficha mabilioni nje ya nchi haijaathiri chochote Kenya unataka bado nikuone una akili kweli?
 
Back
Top Bottom