WFP yasema watu Milioni 2.4 kukabiliwa na baa la njaa nchini Kenya

Hiyo pesa wewe unadhani ametoa kwa uma? mbona wewe boya hivi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uko na dhibitisho utuonyeshe tuwafungulie mashtaka?., weka humu niko tayari kusambaza..,
Wewe ni kajinga!

Ufisadi ni shehemu ya maisha hapo Kenya ndio maana unaandika haya.

Wewe mwenyewe unaliwa na umasikini ila kwakuwa Uhuru ni mtu wa kabila lako uko tayari kumtetea hata akija kukubebea mke wako.
 
I am not for or against Kenyatta wewe boya., I am arguing based on facts, wewe unakurupuka fikra zako tu humu bila evidence, yaani chuki na wivu tu ndio driving force ya reasoning yako, thus u cant think rationally, u are very subjective and negative all through., sasa mauaji ya kikabila inatokea wapi hapa? nakuambia wewe ni boya, rudi shule bado mda iko, kisha utarudi tutaelewana., 😂 😂 😂 😂 ..,
 
Wewe ni kajinga!

Ufisadi ni shehemu ya maisha hapo Kenya ndio maana unaandika haya.

Wewe mwenyewe unaliwa na umasikini ila kwakuwa Uhuru ni mtu wa kabila lako uko tayari kumtetea hata akija kukubebea mke wako.
Ona sasa, unajuaje Uhuru ni wa kabila langu? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 yani am arguing with an idiot kweli.., kaka jipe shughli, hauna uwezo wa ki fikra ama ku argue., akili fupi sana hii 😂 😂 😂 😂 , I hate baseless reasoning..,
 
Wewe endelea kutetea wanaume wenzio wanaficha mihela nje ya nchi huku wewe ukiliwa na umasikini.

Ni aibu kwa nchi kujulikana dunia nzima kwamba inakabiliwa na njaa alafu hapo hapo zinakuja taarifa rais wake kaficha mabilioni nje ya nchi.

Hii ndio shithole Country yenyewe sasa
 
Evidance zipi sasa?

Habari za ufisadi wa viongozi wa kenya unataka kupewa evidance na nani?

Kwamba kuna mamilioni wanakosa chakula hapo kenya unataka evidance kutoka kwa nani?
 
Evidance zipi sasa?

Habari za ufisadi wa viongozi wa kenya unataka kupewa evidance na nani?

Kwamba kuna mamilioni wanakosa chakula hapo kenya unataka evidance kutoka kwa nani?
Laana na ujinga ni taifa linalotajwa miongoni mwa mataifa ya watu wengi fukara wa kutupwa na liko na ardhi kubwa yenye rotuba.., aibu sana., nature is taking care of you, hamujiwezi, so fyata.
 
Hizi story waambie wakazi wa Kibera waliokosa chakula uone kama watakuelewa.
 
Chakula ndio hitaji la kwanza kabisa kwa binadamu yeyote.

Ukiona mtu anajisifia nchi yake ina uchumi mkubwa au watu wake wana kipato kikubwa, halafu ukasikia nchi hiyo hiyo inasumbuliwa na tatizo la njaa. Ujue huyo mtu anapaswa kupimwa akili.
 
Endelea kusifia utajiri wa wanaume wenzio,kenya hivi kenya vile kumbe hata kiwanja cha 20×20 unakodishwa ujenge
 
Wewe acha ujuaji.Ujuaji mwingi ukaribisha upumbavu.
Nchi ambayo inasemekana kuwa na hali nzuri kimaendeleo ya kiuchumi na kijamii ni nchi yenye kutoa huduma za kijamii/umma itakikanavyo pamoja na food security.
HAKUNA TAIFA DUNIANI AMBALO LINA UCHUMI IMARA HALAFU LINAPOKEA MSAADA WA CHAKULA.
Kama kweli ninyi sio size yetu tumieni hzo hela kuchimba visima virefu penye ukame na muanzishe kilimo cha umwagiliaji cha kisasa.
Msisingizie mara hv mara vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…