What a shame.CBE

i pad3

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,518
Reaction score
378
CHUO KINALIPWA PESA NA WATUU HAWASOMI BURE ILA KUTOA PESA YA KUNUNULIA RANGI YA KUPIGA KILA MWAKA WAMESHINDWA? ANGALIA MOJA YA MADARASA YAO HAPO CBE.
WHAT A BIG SHAME.o
 
Kama shule za kata..duh!..ama kwa vile wanaenda pia wenye four za mwisho ndo maana inafanywa kama darasa la tuition centre ile ya Shomari pale Chang'ombe enzi hizo
 
hii snap ilichukuliwa kabla ya ile sheria haijapitishwa maana naona kuna bishosti hapo kavaa suruali..

sheria gani kaka? ya mavazi?...wameshindwa kufanya kazi wanahamia kwenye mavazi..what a shame...kupiga rangi wanashindwa pesa wanatia tumboni wanabakia kusema watoto wavae ma overall nadi ya joto la dsm
 
Yawezekana rangi zimepanda bei soko la dunia chuo kimeshindwa kununua
 
Ulikuwa kimya siku zote, juzi umekatazwa kuvaa kimini ndo sasa unakuja kuuchana Utawala hapa!
 
Hivi ni college hii? Du waende mlimani wakaone viti vya madarasa,mbona kama vya primary?
 
Duuu! kumbe bado kuna vyuo wanakalia viti vya chuma/bati????? bongo noma!!!!
 
Nimeshachukuwa Form CBE,sijui itakuwaje.
 
mmeishaiona tumaini ya iringa?
Ni kama shule ya bush vile majengo,ukiambiwa huwezi amini mpaka uone.
 
Ebu njoo udsm ujionee kama hujadhirai hapo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…