Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Jamani mimi nawasalimia tu wana MMU...hope muwazima wote...have missed you kweli....nawatakia siku njema.
Ahaaa ahaa mkuu nilikuwa najua kuwa usingeniacha hivi hivi tu.
We miss you too hope you are doing okayJamani mimi nawasalimia tu wana MMU...hope muwazima wote...have missed you kweli....nawatakia siku njema.
asante keren mzima?mcd u too mumy
Haya mkuu hivi list yako uliiweka hapa l.o.lha ha ha!yeah man,fanya mamboz wadau tunasubi lkn tanguliza kwanza list yako
We miss you too hope you are doing okay
Haya mkuu hivi list yako uliiweka hapa l.o.l
Wit i tested it one day dah mkuu kama muarobani vileutaniagizia campari as a fine ujue?rejea pg ya kwanza asap
Wit i tested it one day dah mkuu kama muarobani vile
Bado tu list haijakamilika????:bored:
Hivi uliishawahi kupata binti akakupa THUG LOVIN l.o.lha ha ha!when am there u gonna test it again n u will be used to that...nimeona summary bana,am especting urs even from the jungle lol
Check juu kabisa mwanzo wa hii threadBado tu list haijakamilika????:bored:
Ahaaaa ahaaaa ahaaaa Babu una vituko sana aisee l.o.lHli sredi la kiinglishi lilianza vizuri mpaka walipoingia waliosoma shule za kata....inglishi iz noti richabo!
Ngoja nikalianzisha la kifaransa kudadadadadeki....atakayechakachua hata kwa kiinglishi, nampia ban mpaka kwenye seva.
Hli sredi la kiinglishi lilianza vizuri mpaka walipoingia waliosoma shule za kata....inglishi iz noti richabo!
Ngoja nikalianzisha la kifaransa kudadadadadeki....atakayechakachua hata kwa kiinglishi, nampia ban mpaka kwenye seva.
Khaaa
babu ndo nini
Kunisema vibaya hivyo
hata mie niwa kata..
Kuanzia dakika hii
nimejitoa kwenye list ya wajuku
wakuku tetea.
mmmmhhhh
Babu taratibu aisee huku mkoloni anataka kuniandikia notice kwasababu ya kucheka ofisiniKwa kiinglishi tafazali...hili lisredi ni lakimombo
Hli sredi la kiinglishi lilianza vizuri mpaka walipoingia waliosoma shule za kata....inglishi iz noti richabo!
Ngoja nikalianzisha la kifaransa kudadadadadeki....atakayechakachua hata kwa kiinglishi, nampia ban mpaka kwenye seva.