What are the reasons behind?

Sharo hiphop

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
660
Reaction score
104
Kwa nini mara nyingi katika suala la mavazi wanaoharibu zaidi ni wanawake? Mfano tukiwa beach wanawake utakuta kafunika robo mwili tu, yaani pale kwenye -------- tena kwa bikini na kwenye maziwa tu. Tukiwa club wasichana utakuta wamevaa vaa minguo ya ajabuajabu tu, au utakuta mtu katoka na mpenzi wake out, utamwona mwanaume kavaa fresh lakini honeeee kavaa balaaaaa tupu!



Ladies and gents, welcome for conversation.
 
Bana sharo.... mtu yuko huru kuanzisha kiasi chochote cha thread...
but wachangiaji wengi ni wale wale, uwe unatutupia hata mbili mbili walau...

Juzi kati ilikuwepo thread ya mavazi ya wadada.. waungwana
walijibu vizuri na walichangia mengi... ngoja nikuangalizie link...
 

Mbona unapotezea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…