GLOBAL CITIZEN
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 767
- 1,657
Greetings everybody.
Leo ni siku nyingine tunakutana kwenye darasa la leo ambapo nataka nikuonyeshe ukweli mchungu ambao watu wengi wanajaribu kuukwepa lakini wasijue kufanya hivyo ni kujidanganya tu.
Kwa kuanza nikuulize how may times umesikia watu wakisema aaah nataka niwe financially independent, nataka nianzishe biashara ili niachane na 9 - 5 hour job, nataka niache kula hovyo hovyo ili nipunguze uzito lakini watu hawa hawa hawapo tayari kujitoa kweli kutimiza malengo haya?
Nini point ya kupenda kitu usichokuwa tayari kujitoa kweli na kukipata?
Binafsi i hate being poor.
It sucks.
Lakini nitawezaje kutoka kwenye msoto wakati sipo tayari ku-sucrifice muda, familia, marafiki, pesa au wakati mwingine afya?
Je, nikiishia tu kusema I hate being poor itasaidia mimi kuwa tajiri?
The answer is NO.
Sasa hapa ndiyo Point ya “sacrifice” inakuja.
Huwezi kupata utajiri usipokuwa tayari kulipia gharama za kukufiisha pale.
Unahitaji kuwa tayari “to pay the price” ya aina na kiasi cha mafanikio unayoyataka.
Wanasema more money more trouble.
Hiyo ni kweli kabisa.
Ukianza kupata pesa nyingi majukumu nayo yanaongezeka. Na hii mara nyingi inasababisha stress kuhimili majukumu mengi mapya.
Alright.
Sasa nataka tuangalie mambo matatu 3 unayotakiwa kujiandaa ku-sacrifice ili kweli upate pesa.
1 • Family and friends.
Kuwa entrepreneur ni kazi ngumu sana.
It is very lonely journey.
Inahitaji focus ya juu. Na mara nyingi hii unaweza kufikia ukiwa mwenyewe.
Ukiwa unaunda business yako mpya trust me utatumia muda mwingi mwenyewe na hii inaweza kukusababisha kuwasahau marafiki au family member.
Baadhi ya watu hufikia hadi hatua ya kuachwa na wenza wao kwasababu they are so busy hawana muda kabisa wakuwa pamoja.
Vipi upo tayari ku-sacrifice marafiki na familia kwa muda fulani ili utumie muda wako kutengeneza stable income sources?
2 • Afya.
Mara nyingi ili uweze kupata pesa kweli inakugharimu afya yako.
Hapa nazungumzia afya ya akili yako lakini pia mwili wako.
Binafsi wakati mwingi nakuwa so busy with work nalala masaa chachache sana.
Muda wote akili ipo active.
Hii inaleta stress kwasababu nakosa quality sleep
Ni muhimu sana kwa afya lakini sasa ndiyo hivyo I need the money
Kwa watu wanaofanya kazi migodini na viwandani wao wanaumiza sana miili yao kwasababu yakuwa exposed katika hewa au radiation hatari.
Lakini lengo ni lile lile wanataka pesa na wameamua kulipa price.
Watu mashuhuri kama Steve Jobs huyu naweza sema aliunda kampuni ya Apple [emoji519] kwa gharama ya afya yake.
Mtu kama Elon Musk ni workaholic. Kama hapati quality sleep basi na yeye ana sacrifice afya yake kwaajili ya mafanikio ya kampuni zake. He owns several businesses. And they all successful.
Hapo vipi?
Je, upo tayari ku-sacrifice afya kwaajili ya kupata pesa?
3 • Kuwa tayari kukabiliana na haters. Most people dont believe in themselves. Don’t expect them to believe in you and your hustle.
Yes man.
Kama nilivyosema. More money more trouble.
Na wakati unaanza business au kitu chochote kile chakukuongizia pesa ya kueleweka inabidi uwe tayari kutoka mbele za watu na kunadi huduma au bidhaa yako.
Sasa hapa ndiyo utaelewa maana ya business.
Most people will ignore you.
They will laugh at you.
Na kama hauwezi ku-hunde rejection uta acha kwasababu ya kuvunjwa moyo.
Na niseme hii inaweza anzia hata hapo nyumbani.
Ukija mtandaoni na kwenyewe ni vile vile. Watu wanaweza wasiseme chochote kuhusu service au product yako lakini wanaweza ku-ignore tu.
How does that feel?
Inavunja moyo sivyo?
Sasa hiyo ni moja kati ya price au sacrifice unayotakiwa kujiandaa kulipia ukiwa unataka kufikia Financial freedom.
Ndiyo, kwa leo naomba niishie hapa. Tukutane wakati mwingine katika darasa lingine amazing kama hili.
Leo ni siku nyingine tunakutana kwenye darasa la leo ambapo nataka nikuonyeshe ukweli mchungu ambao watu wengi wanajaribu kuukwepa lakini wasijue kufanya hivyo ni kujidanganya tu.
Kwa kuanza nikuulize how may times umesikia watu wakisema aaah nataka niwe financially independent, nataka nianzishe biashara ili niachane na 9 - 5 hour job, nataka niache kula hovyo hovyo ili nipunguze uzito lakini watu hawa hawa hawapo tayari kujitoa kweli kutimiza malengo haya?
Nini point ya kupenda kitu usichokuwa tayari kujitoa kweli na kukipata?
Binafsi i hate being poor.
It sucks.
Lakini nitawezaje kutoka kwenye msoto wakati sipo tayari ku-sucrifice muda, familia, marafiki, pesa au wakati mwingine afya?
Je, nikiishia tu kusema I hate being poor itasaidia mimi kuwa tajiri?
The answer is NO.
Sasa hapa ndiyo Point ya “sacrifice” inakuja.
Huwezi kupata utajiri usipokuwa tayari kulipia gharama za kukufiisha pale.
Unahitaji kuwa tayari “to pay the price” ya aina na kiasi cha mafanikio unayoyataka.
Wanasema more money more trouble.
Hiyo ni kweli kabisa.
Ukianza kupata pesa nyingi majukumu nayo yanaongezeka. Na hii mara nyingi inasababisha stress kuhimili majukumu mengi mapya.
Alright.
Sasa nataka tuangalie mambo matatu 3 unayotakiwa kujiandaa ku-sacrifice ili kweli upate pesa.
1 • Family and friends.
Kuwa entrepreneur ni kazi ngumu sana.
It is very lonely journey.
Inahitaji focus ya juu. Na mara nyingi hii unaweza kufikia ukiwa mwenyewe.
Ukiwa unaunda business yako mpya trust me utatumia muda mwingi mwenyewe na hii inaweza kukusababisha kuwasahau marafiki au family member.
Baadhi ya watu hufikia hadi hatua ya kuachwa na wenza wao kwasababu they are so busy hawana muda kabisa wakuwa pamoja.
Vipi upo tayari ku-sacrifice marafiki na familia kwa muda fulani ili utumie muda wako kutengeneza stable income sources?
2 • Afya.
Mara nyingi ili uweze kupata pesa kweli inakugharimu afya yako.
Hapa nazungumzia afya ya akili yako lakini pia mwili wako.
Binafsi wakati mwingi nakuwa so busy with work nalala masaa chachache sana.
Muda wote akili ipo active.
Hii inaleta stress kwasababu nakosa quality sleep
Ni muhimu sana kwa afya lakini sasa ndiyo hivyo I need the money
Kwa watu wanaofanya kazi migodini na viwandani wao wanaumiza sana miili yao kwasababu yakuwa exposed katika hewa au radiation hatari.
Lakini lengo ni lile lile wanataka pesa na wameamua kulipa price.
Watu mashuhuri kama Steve Jobs huyu naweza sema aliunda kampuni ya Apple [emoji519] kwa gharama ya afya yake.
Mtu kama Elon Musk ni workaholic. Kama hapati quality sleep basi na yeye ana sacrifice afya yake kwaajili ya mafanikio ya kampuni zake. He owns several businesses. And they all successful.
Hapo vipi?
Je, upo tayari ku-sacrifice afya kwaajili ya kupata pesa?
3 • Kuwa tayari kukabiliana na haters. Most people dont believe in themselves. Don’t expect them to believe in you and your hustle.
Yes man.
Kama nilivyosema. More money more trouble.
Na wakati unaanza business au kitu chochote kile chakukuongizia pesa ya kueleweka inabidi uwe tayari kutoka mbele za watu na kunadi huduma au bidhaa yako.
Sasa hapa ndiyo utaelewa maana ya business.
Most people will ignore you.
They will laugh at you.
Na kama hauwezi ku-hunde rejection uta acha kwasababu ya kuvunjwa moyo.
Na niseme hii inaweza anzia hata hapo nyumbani.
Ukija mtandaoni na kwenyewe ni vile vile. Watu wanaweza wasiseme chochote kuhusu service au product yako lakini wanaweza ku-ignore tu.
How does that feel?
Inavunja moyo sivyo?
Sasa hiyo ni moja kati ya price au sacrifice unayotakiwa kujiandaa kulipia ukiwa unataka kufikia Financial freedom.
Ndiyo, kwa leo naomba niishie hapa. Tukutane wakati mwingine katika darasa lingine amazing kama hili.