What are your plans for 2010 Election?

kimatire

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2008
Posts
371
Reaction score
94
Open your mind up to the `Challenges` we face in Tanzania environment to be successful.

What are your plans for 2010 Election?
 
Thanks mkuu lakini nadhani swali liko broad sana na ingekua vizuri kama ungeweka scope au wewe mwenyewe kuwa specific ni nini unaexpect kutoka kwa wachangiaji

mimi ningekwambia nachukua likizo, napiga kura na kusubiri matokeo, lakini sidhani kama ndicho unachotegemea

more insight please
 
Kugombea Udiwani Mbagala charambe kwa tiketi ya CCJ
 
Mimi nikiingia Magogoni namfungulia mke wangu NGO "afaidi matunda ya nchi" kwa mgongo wa gharama za serikali. Just a "rhetoric" mazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…