Huna jinsi hapo TF wacha wakubwa tulonge....LOL
hahaha mwenyewe keshaelewa mi nilishangaa mtotom mdogo kazaliwa juzi hapa tunamimbia happy bday leo anataka kuota mapembe...lol
Asha D uwe unaangalia jamani hahahahahaaa....ile yuko very obedient, AD anafanya kazi nzuri:israel:
Tulikuwa vizuri mara wakanikana kama Yuda alivyomkana YesuHuna jinsi hapo TF wacha wakubwa tulonge....LOL
Nimeona tatizo wewe uko IBO mikanda yote ya ubingwa umeshikilia wewe
Hahahahaha!!! Nikapigwa na madongo juu lolhahaha mwenyewe keshaelewa mi nilishangaa mtotom mdogo kazaliwa juzi hapa tunamimbia happy bday leo anataka kuota mapembe...lol
Asha D uwe unaangalia jamani hahahahahaaa....ile yuko very obedient, AD anafanya kazi nzuri:israel:
Sasa Kaizer that drink TF aliahidi kumtoa huby, nawe utakuwepo au ndo inabidi nayo TF apotezee.... Uje wewe...
Tulikuwa vizuri mara wakanikana kama Yuda alivyomkana Yesu
Nimeona tatizo wewe uko IBO mikanda yote ya ubingwa umeshikilia wewe
Hahahahaha!!! Nikapigwa na madongo juu lol
Tulikuwa vizuri mara wakanikana kama Yuda alivyomkana Yesu
Nimeona tatizo wewe uko IBO mikanda yote ya ubingwa umeshikilia wewe
Hahahahaha!!! Nikapigwa na madongo juu lol
hahaha, Asha D, as a matter of fact, TF na Hubby wanabaki na ya kwao, mi na wewe tutakuwa pamoja JIONI hii for a drink as well..talk of women EMANCIPATION
Ngoja nisikie Kaizer atasemaje kuhusiana na hiliSasa Kaizer that drink TF aliahidi kumtoa huby, nawe utakuwepo au ndo inabidi nayo TF apotezee.... Uje wewe...
Amini amini nawaambia jioni nitakuwa pamoja nanyi kwenye nyumba ile, Kaizer zile cooking skills sijui bado zipohahaha, Asha D, as a matter of fact, TF na Hubby wanabaki na ya kwao, mi na wewe tutakuwa pamoja JIONI hii for a drink as well..talk of women EMANCIPATION
Wala sibishihahahah....wewe tulia kidogo kidogo utafika tu kijana wangu...
:israel::israel::israel:Kumbe hamna kilichoharibika huby utatoka nae... u are going to give him a guys day out....
Huu mthredi kaanzisha nani vile,nimeshindwa changia ngoja nikatafute zee kwanza halafu nirudi:second:
LOL.... eeh kweli the above in red applies...
now thats a deal, gal.
The groove is on lol!!!Yeah... Ngoja ni log out nikajipange for the evening.....
The groove is on lol!!!
Kizungu kinachosha kweli kusoma halafu ukiwa huelewi ndo kabisa
Wewe si nilikulipia pale BRITISH COUNCIL ukasome au ulikula ada???Mwe yani ngoja nitokee mbio nikafanyie kazi vijisentensi nilivoelewa vingine vimenipita Dena embu PM basi utoe tafsiri!
Deal!!!Utapata fidbak toka kwa Kaizer, mimi nitapata kutoka kwa huby... Best of Luck na hakikisha amerudi happy...LOL
Yeah... Ngoja ni log out nikajipange for the evening.....
Utapata fidbak toka kwa Kaizer, mimi nitapata kutoka kwa huby... Best of Luck na hakikisha amerudi happy...LOL
Mwe yani ngoja nitokee mbio nikafanyie kazi vijisentensi nilivoelewa vingine vimenipita Dena embu PM basi utoe tafsiri!