What do you see yourself in the Midst of Poverty, Suffering and Despair; Katikati ya Kukata Tamaa

What do you see yourself in the Midst of Poverty, Suffering and Despair; Katikati ya Kukata Tamaa

the power

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
407
Reaction score
799
Ndani ya dimbwi la umasikini wa kutupwa, Katikati ya shida, magonjwa, sononesho la kutisha. Baada ya kukatishwa tamaa na watu uliowahamini, baada ya jamii kukuambia huwezi, huwezi kutoboa, huna uwezo, hizo ni ndoto, baada ya kuwa betrayed, je bado unafikiri utaendelea kusimama? bado unafikiri utaendelea kupigana na kufanikiwa, ni kitu gani muhimu unatakiwa kuwa nacho.

Baada ya Kujikuta ukiwa umezaliwa katika familia masikini , wazazi wakiwa wamesambaratika, familia inayoshikiliwa na mama ambaye na yeye hajui mtakula nini?mtalala wapi? kibaya je utatusua kimasomo wakati unasoma shule ya kata, hakuna walimu, hakuna reference books and other materials, library, hakuna kila kitu? mahabara unaisikia na kuiona kwenye picha tu, contrary na wenzako wa international schools, ingawa mtafanya mtihani mmoja na watawapongeza eti ni vipanga, top ten students? Pathetic. Je wewe bado unajiweka upande gani kuhusu maisha yako? what do you invisage about your successful future life? je umekata tamaa?

Jinsi ambavyo una-assimilate matatizo na kuyachakachua kwenye medulla yako, inabidi yabakie hukohuko, inabidi kuyazuia yasiweze kuathiri thinking, perception (muono) wako wa uwezo wako wa kukabiliana nayo na kutusua baadae,
yasiweze kuzuia fikra pevu kwamba wewe ni jemedari, wewe ni askari, wewe ni tajiri, wewe ni mwenye afya tele ingawa uko bed ridden, wewe utapasua ingawa jamii inakuambia huwezi.

Ni pale utakapokubaliana na hali unayopitia (acceptance), ni pale utakapopingana na hisia mbaya za mimi basi nimekwisha (despair) , ni pale utakapoacha kumsingizia shetani? wachawi eti wamechukua nyota yako, acha kumsingizia jirani yako, ni pale utakapoacha kupeleka blame, shutuma kwa wazazi, walezi, mme wako au mke wako, ni pale utakaposimama mwenyewe na kusema haya ni mapito ndipo litakuwa chimbuko la kufaulu kwako. Siku zote maisha ni kupambana regardless huko kenye hali gani, unakabiliana na changamoto gani? hakuna kinachoshindika haswa ukimtanguliza Mungu

Perception about events and life is key to driving your internal energy, to keeping you morale and stay fighting, a positive perception of winning, a courageous attitude of succeeding even if you are in the midst of suffering, in the midst of pain and agony are what you need to assist you open your door to success .

My bro and sisters picha hii chini nimeikuta sehemu fulani na imenikumbusha maisha yangu nikiwa katika umri huo, it really touched me very much, it portray a true reflection of me. nimejiona mimi mwenyewe lakini uzuri nilikuwa mbishi kama hii picha, nikaona ni vizuri kushare na baadhi ambao labda walipitia katika mapito haya ili waendelee kuhushuhudia utukufu na maajabu ya Mungu; God is great always.

Ni picha inayoongea mengi, ni picha inayokupa hualisia wa maisha, jinsi unavyotakiwa kuyachukulia kwa sasa, kukabiliana na changamoto, inakuhasa ukijipotray kama ulivyo sasa, mwenye shida, disadvantageous ukaingiza kwenye perception na altitude zako utabakia hivyohivyo maisha yako yote. Weka goals (malengo) yako very high, weka standard zako very high, halafu tengeneza strategies kufikia malengo au standard zako, kumbuka utakutana na vikwazo hatari, maumivu mengi ila jua hayo ni mapito tu.ukifuata ushauri huu utakuja kunikumbuka siku moja.

The true couragous  image of you.jpg
 

Attachments

  • The true couragous  image of you.jpg
    The true couragous image of you.jpg
    754.2 KB · Views: 5
Ndani ya dimbwi la umasikini wa kutupwa, Katikati ya shida, magonjwa, sononesho la kutisha. Baada ya kukatishwa tamaa na watu uliowahamini, baada ya jamii kukuambia huwezi, huwezi kutoboa, huna uwezo, hizo ni ndoto, baada ya kuwa betrayed, je bado unafikiri utaendelea kusimama? bado unafikiri utaendelea kupigana na kufanikiwa, ni kitu gani muhimu unatakiwa kuwa nacho.

Baada ya Kujikuta ukiwa umezaliwa katika familia masikini , wazazi wakiwa wamesambaratika, familia inayoshikiliwa na mama ambaye na yeye hajui mtakula nini?mtalala wapi? kibaya je utatusua kimasomo wakati unasoma shule ya kata, hakuna walimu, hakuna reference book and other materials, libarary, hakuna kila kitu? mahabara unaisikia na kuiona kwenye picha tu, Je wewe bado unajiweka upande gani kuhusu maisha yako? what do you invisage about your successful future life? je umekata tamaa?

Jinsi ambavyo una-assimilate matatizo na kuyachakatua kwenye medulla yako, inabidi yabakie hukohuko, inabidi kuyazuia yasiweze kuathiri thinking, perception (muono) wako wa uwezo wako kukabiliana nayo na kutusua baadae,yasiweze kuzuia fikra pevu kwamba wewe ni jemedari, wewe ni askari, wewe ni tajiri, wewe ni mwenye afya tele ingawa uko bed ridden, wewe utapasua ingawa jamii inakuambia huwezi.

Ni pale utakapokubaliana na hali unayopitia (acceptance), ni pale utakapingana na hisia mbaya za mimi basi nimekwisha (despair) , ni pale utakaacha kumsingizia shetani? wachawi, ni pale utakaacha kupeleka blame, shutuma kwa wazazi, walezi, mme wako au mke wako, ni pale utakaposimama mwenyewe na kusema haya ni mapito ndipo litakuwa chimbuko la kufaulu kwako. Siku zote maisha ni kupambana regardless huko kenye hali gani, unakabiliana na changamoto gani? hakuna kinachoshindika kaswa ukimtanguliza Mungu

Perception about events and life is key to driving your internal energy, to keeping you fighting, a positive perception of winning, a courageous attitude of succeeding even if you are in the midst of suffering, in the midst of pain and agony are what you need to assist you open your door to success .

My bro and sisters picha hii chini nimeikuta sehemu fulani na imenikumbusha maisha yangu nikiwa katika umri huo, it really touched me very much, nimejiona mimi mwenyewe lakini uzuri nilikuwa mbishi kama hii picha, nikaona ni vizuri kushare na baadhi ambao labda walipitia katika mapito haya. God is great always.

Picha hii chini inakupa hualisia wa maisha, jinsi unavyotakiwa kukabiliana na changamoto, ukijipotray kama ulivyo sasa, mwenye shida, disadvantageous utabakia hivyohivyo maisha yako yote. Weka goals (malengo) yako very high, weka standard zako very high, halafu tengeneza strategies kufikia malengo au standard zako, kumbuka utakutana na vikwazo hatari, maumivu mengi ila jua hayo ni mapito tu.ukifuata ushauri utakuja kunukumbuka.

View attachment 3055762
Ok
 
Umasikini ni mbaya na unakuwa mbaya zaidi pale masikini anapozaa/ongeza masikini.
 
Umasikini ni mbaya na unakuwa mbaya zaidi pale masikini anapozaa/ongeza masikini.
Ahaaaaaaa, ni kweli na umasikini ni kama viscous cycle, lakini message behind kisa mkasa cha picha ni kwamba tunatakiwa tufanye nini katikati ya dimbwi ili la umasikini ili kuivunja minyororo ya umasikini. Positive perception. positive altitudes, unquestioned courage, Perce valence, ignoring negativity , expectation of challenges along and be able to overcomes are what you need kutoka kwenye viscous cycle ya poverty.
 
Ndani ya dimbwi la umasikini wa kutupwa, Katikati ya shida, magonjwa, sononesho la kutisha. Baada ya kukatishwa tamaa na watu uliowahamini, baada ya jamii kukuambia huwezi, huwezi kutoboa, huna uwezo, hizo ni ndoto, baada ya kuwa betrayed, je bado unafikiri utaendelea kusimama? bado unafikiri utaendelea kupigana na kufanikiwa, ni kitu gani muhimu unatakiwa kuwa nacho.

Baada ya Kujikuta ukiwa umezaliwa katika familia masikini , wazazi wakiwa wamesambaratika, familia inayoshikiliwa na mama ambaye na yeye hajui mtakula nini?mtalala wapi? kibaya je utatusua kimasomo wakati unasoma shule ya kata, hakuna walimu, hakuna reference books and other materials, library, hakuna kila kitu? mahabara unaisikia na kuiona kwenye picha tu, contrary na wenzako wa international schools, ingawa mtafanya mtihani mmoja na watawapongeza eti ni vipanga, top ten students? Pathetic. Je wewe bado unajiweka upande gani kuhusu maisha yako? what do you invisage about your successful future life? je umekata tamaa?

Jinsi ambavyo una-assimilate matatizo na kuyachakatua kwenye medulla yako, inabidi yabakie hukohuko, inabidi kuyazuia yasiweze kuathiri thinking, perception (muono) wako wa uwezo wako wa kukabiliana nayo na kutusua baadae,
yasiweze kuzuia fikra pevu kwamba wewe ni jemedari, wewe ni askari, wewe ni tajiri, wewe ni mwenye afya tele ingawa uko bed ridden, wewe utapasua ingawa jamii inakuambia huwezi.

Ni pale utakapokubaliana na hali unayopitia (acceptance), ni pale utakapopingana na hisia mbaya za mimi basi nimekwisha (despair) , ni pale utakapoacha kumsingizia shetani? wachawi eti wamechukua nyota yako, acha kumsingizia jirani yako, ni pale utakaacha kupeleka blame, shutuma kwa wazazi, walezi, mme wako au mke wako, ni pale utakaposimama mwenyewe na kusema haya ni mapito ndipo litakuwa chimbuko la kufaulu kwako. Siku zote maisha ni kupambana regardless huko kenye hali gani, unakabiliana na changamoto gani? hakuna kinachoshindika haswa ukimtanguliza Mungu

Perception about events and life is key to driving your internal energy, to keeping you morale and stay fighting, a positive perception of winning, a courageous attitude of succeeding even if you are in the midst of suffering, in the midst of pain and agony are what you need to assist you open your door to success .

My bro and sisters picha hii chini nimeikuta sehemu fulani na imenikumbusha maisha yangu nikiwa katika umri huo, it really touched me very much, it portray a true reflection of me. nimejiona mimi mwenyewe lakini uzuri nilikuwa mbishi kama hii picha, nikaona ni vizuri kushare na baadhi ambao labda walipitia katika mapito haya ili waendelee kuhushuhudia utukufu na maajabu ya Mungu; God is great always.

Ni picha inayoongea mengi, ni picha inayokupa hualisia wa maisha, jinsi unavyotakiwa kuyachukulia kwa sasa, kukabiliana na changamoto, inakuhasa ukijipotray kama ulivyo sasa, mwenye shida, disadvantageous ukaingiza kwenye perception na altitude zako utabakia hivyohivyo maisha yako yote. Weka goals (malengo) yako very high, weka standard zako very high, halafu tengeneza strategies kufikia malengo au standard zako, kumbuka utakutana na vikwazo hatari, maumivu mengi ila jua hayo ni mapito tu.ukifuata ushauri huu utakuja kunikumbuka siku moja.

View attachment 3055762
Dah Uzi unanihusu kabisa maana nipo kwenye hali ya kukata tamaa...... Asante sana!
 
Back
Top Bottom