What exactly is her vision for the country?

Emphathy? Nyie watu mliokuwa mnashangilia Lissu kuuawa unazungumzia kuhusu emphathy?😂😂
 
Kila mara anapotoa hotuba zake huwa namsikiliza niweze kuelewa direction yake lakini huwa inaniwia vigumu.

Jambo nalomuona akilifanya muda mwingi ni kuundo kila alichofanya mtangulizi wake.

Hajali kama alikifanya kwa manufaa yetu au la.
 
Kila mara anapotoa hotuba zake huwa namsikiliza niweze kuelewa direction yake lakini huwa inaniwia vigumu.

Jambo nalomuona akilifanya muda mwingi ni kuundo kila alichofanya mtangulizi wake.

Hajali kama alikifanya kwa manufaa yetu au la.
Kwani Magu Ni Nani nchi hii nyie wapuuzi?

Trash
 
Bora huyo,kuliko lile baba liuaji
 
Be blessed
Samia forever, tunataka Marais wenye utu sio wafupi wa akili kama yule wa chattle
 
Vision ya mama ni kufungua nchi wakati huo huo akipinguza dhulma ambao iliota mizizi wakati fulani na hatimae kuikomesha kabisa.
 
Maguu amefanya kipi cha maana zqidi ya kuacha chuki kwa hili taifa?
Fisadi lisilona mfanano , refers CAG reports
 
Ulikuwa unamuelewa jiwe kwenye hotuba zake?
Kila mara anapotoa hotuba zake huwa namsikiliza niweze kuelewa direction yake lakini huwa inaniwia vigumu.

Jambo nalomuona akilifanya muda mwingi ni kuundo kila alichofanya mtangulizi wake.

Hajali kama alikifanya kwa manufaa yetu au la.
 
Mkuu,jamaa kaandika kiingilishi,wewe unamjibu kiswazi!
 
Hapa anazungumziwa Samia.

Magufuli ameingiaje tena?

Au Magufuli kakukaa sana kichwani na umeshindwa kumtoa kwenye fikra zako

Hapa anazungumziwa Samia.

Magufuli ameingiaje tena?

Au Magufuli kakukaa sana kichwani na umeshindwa kumtoa kwenye fikra zako?
Kwa kweli siamin kama Lile shetan will no longer walk on the surface of the this universe
Lijifie tena huko liliko
 
Hivi sisi tuna vision???

Maana kila anayeingia anakuja na mipango yake!

Ova
 
Kila Zama na kitabu chake!!
 
Samia hana vision yoyote. Ni rais wa mchongo aliyewekwa hapo kwa makusudi maalum.

Baada ya muda tutajua tu yaliyojificha nyuma ya pazia.
 
Kila mara anapotoa hotuba zake huwa namsikiliza niweze kuelewa direction yake lakini huwa inaniwia vigumu.

Jambo nalomuona akilifanya muda mwingi ni kuundo kila alichofanya mtangulizi wake.

Hajali kama alikifanya kwa manufaa yetu au la.
Waliyopita direction yao ilikuwa nini?

Sisi twende tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…