Acha udini wewe,vipi kule Palestine Christians and Muslims wanavyouliwa na Wayahudi(Zionists)?? Usipende kuchanganya mambo. Somalia ni special caseJesus is King of kings.
Wasomali wana Dream ya Kuirudisha East Afrika katika himaya ya Uisilamu wewe ingia kwenye Bloggs zao hasa za Somalia South.Acha udini wewe,vipi kule Palestine Christians and Muslims wanavyouliwa na Wayahudi(Zionists)?? Usipende kuchanganya mambo. Somalia ni special case
Sawa bwana mkubwa, naona argument zako kuhusu somalia zimekaa kidini dini sana, wewe unaesema wamfuate Yesu unajiona uko sahihi na iwe hivyo! Sasa kwa mwendo huu naona siwezi endelea na mjadala huu na wewe sababu our levels of understanding things are very different.Wasomali wana Dream ya Kuirudisha East Afrika katika himaya ya Uisilamu wewe ingia kwenye Bloggs zao hasa za Somalia South.
Ujifunze
Wewe kama Sikosei ni mkomunisti kama avatar yako inavyo onyesha hamuamini katika Dini munasema atu dini ni Opium.Sawa bwana mkubwa, naona argument zako kuhusu somalia zimekaa kidini dini sana, wewe unaesema wamfuate Yesu unajiona uko sahihi na iwe hivyo! Sasa kwa mwendo huu naona siwezi endelea na mjadala huu na wewe sababu our levels of understanding things are very different.
Tatizo lako wewe unadhani ukristo ndio kila kitu wakati hapa duniani ukizungumzia dini basi ukristo ni ni dini ya juzijuzi tu na suala la Somalia halihusiani na kitu unachotaka kutuaminisha hapa. Huyo Jesus wako aliyeshindwa kuleta amani Mashariki ya Kati alikozaliwa ndio ataweza Somalia?Wewe kama Sikosei ni mkomunisti kama avatar yako inavyo onyesha hamuamini katika Dini munasema atu dini ni Opium.
Angalia matatizo ya Mashariki ya kati,Israel imetajwa mpaka kwenye Kuruani kuwa ni nchi ya wayahudi na Wanasara ambao ni Wakristu na watasambaa dunia nzima hatimae watarudi kwaoTatizo lako wewe unadhani ukristo ndio kila kitu wakati hapa duniani ukizungumzia dini basi ukristo ni ni dini ya juzijuzi tu na suala la Somalia halihusiani na kitu unachotaka kutuaminisha hapa. Huyo Jesus wako aliyeshindwa kuleta amani Mashariki ya Kati alikozaliwa ndio ataweza Somalia?
Wengi wanadhani Zionist ni Wakristo!!!Acha udini wewe,vipi kule Palestine Christians and Muslims wanavyouliwa na Wayahudi(Zionists)?? Usipende kuchanganya mambo. Somalia ni special case
Wewe unafikiria hata Shia ni Waisilamu?!Wengi wanadhani Zionist ni Wakristo!!!
kufikiria na kujua ni vitu viwili tofauti. Fuatilia Mafalasha waliotolewa uhabeshi wana hali gani pale HaifaWewe unafikiria hata Shia ni Waisilamu?!
Ignorance at the highest level!