What is not known about Somalia

Wacheni Chuki dhidi ya Wakristo ili mkombolewe.
 
Wasomali Wabantu wanavyoteswa huko Somalia ya Kismayo ikiwamo kubakwa na wanaume wa kisomali
 
Jesus is King of kings.
Acha udini wewe,vipi kule Palestine Christians and Muslims wanavyouliwa na Wayahudi(Zionists)?? Usipende kuchanganya mambo. Somalia ni special case
 
Acha udini wewe,vipi kule Palestine Christians and Muslims wanavyouliwa na Wayahudi(Zionists)?? Usipende kuchanganya mambo. Somalia ni special case
Wasomali wana Dream ya Kuirudisha East Afrika katika himaya ya Uisilamu wewe ingia kwenye Bloggs zao hasa za Somalia South.
Ujifunze
 
Kuna wakenya wengi Somaliland Kuliko Somalia kwa sababu ya Amani na upendo.
 
Wasomali wana Dream ya Kuirudisha East Afrika katika himaya ya Uisilamu wewe ingia kwenye Bloggs zao hasa za Somalia South.
Ujifunze
Sawa bwana mkubwa, naona argument zako kuhusu somalia zimekaa kidini dini sana, wewe unaesema wamfuate Yesu unajiona uko sahihi na iwe hivyo! Sasa kwa mwendo huu naona siwezi endelea na mjadala huu na wewe sababu our levels of understanding things are very different.
 
Wewe kama Sikosei ni mkomunisti kama avatar yako inavyo onyesha hamuamini katika Dini munasema atu dini ni Opium.
 
Wasomali waitumishia misuli Kenya..hiki ni kichwa cha habari kwenye gazeti la The Guardian la Newyork
 
Wewe kama Sikosei ni mkomunisti kama avatar yako inavyo onyesha hamuamini katika Dini munasema atu dini ni Opium.
Tatizo lako wewe unadhani ukristo ndio kila kitu wakati hapa duniani ukizungumzia dini basi ukristo ni ni dini ya juzijuzi tu na suala la Somalia halihusiani na kitu unachotaka kutuaminisha hapa. Huyo Jesus wako aliyeshindwa kuleta amani Mashariki ya Kati alikozaliwa ndio ataweza Somalia?
 
Angalia matatizo ya Mashariki ya kati,Israel imetajwa mpaka kwenye Kuruani kuwa ni nchi ya wayahudi na Wanasara ambao ni Wakristu na watasambaa dunia nzima hatimae watarudi kwao
Kwao wamekuta kumechukuliwa na Waarabu sasa wayahudi wamerudi nyumbani mwanzo mataifa mengi yalikataa kuitambua Israel na wakati huo huo waarabu waivamia mara kwa mara wameshindwa sasa Israeli imeruhusiwa na Mungu

Waarabu wana nchi kubwa kubwa na nyingi wawachukue wenzao wawagawane na Kuwaasili mgogoro utakuwa Umekwisha
 
Angalia huyu mwanamke mkimbizi asili yake ni Mkoa wa Puntland amepata bahati ya kisiasa kuingia kwenye Congress mara Ghafla ameanza kuwakashifu na kuleta ubaguzi dhidi ya Waisraeli badala ya kutulia tuli na kula kitumbua Chake amekuwa kituko

Hili Kabila lina laana.
 
Ilhan Omar Akiwa katika vazi la kuogelea
 
Acha udini wewe,vipi kule Palestine Christians and Muslims wanavyouliwa na Wayahudi(Zionists)?? Usipende kuchanganya mambo. Somalia ni special case
Wengi wanadhani Zionist ni Wakristo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…