What is the best come back in football history?

Mr Antidote

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
953
Reaction score
1,304
1. Liverpool vs Ac milan, ucl final 2005
2. Man U vs Bayern Munches, ucl final 1999
3. Real Madrid vs Atletico Madrid, ucl final 2014
4. Taifa stars vs Algeria, 2015 DSM

Add urs
 
Taifa Stars(Maximo alipewa redcard) vs Burkinafaso
 
Comeback bora kabisa mpaka sasa ni:-

1: man utd vs bayern uefa champs league '99

2: liverpool vs milan uefa champs league '05

3:Simba vs Yanga vodacom league '13

4: crystal palace vs liver epl '13 hili game crystal anarudisha bao 3 in 8min time

5: newcastle vs arsenal epl '11 nafikiri.
Hili game newcastle anarudisha bao 4 in 25 min time. Nani anakumbuka lile bao la Tiote toka katikati ya uwanja?

Hizo ndo best 5 comeback ever in football history according to me.
 
Wekeni na maelezo.
Kama sheringham/ole guna walivyoinyang'anya Bayern sahan ya pilau.
 
Best come back yangu ni hizi
Liverpl v ac milan 3-3
Arsnl.v newcst 4-4
Arsnl v readng 4-4
 
ac milan vs deportivo la coruna kwenye UEFA. ..mechi ya kwanza milan kashinda 4-1 watu wakasema gameover. mech ya pili derpotivo kampiga mtu 4-0 na kuingia nusu fainal kama ckosei. ilikua 2004
 
Liverpool vs AC Milan, nilishangilia mpaka sauti yangu ikawa kama ya mdee au davido
 
Man U ya Fergie ilijizolea umaarufu kwa comebacks, sio comebacks tu but late late ones.

Comeback ambayo hawaitasahau mashabiki wa Man U, ni ile dhidi ya wapinzani wao wa jadi Liverpool pale OT kwenye kombe la FA raundi ya 4 mwaka wa Treble, 1999.

Owen anafunga goli la mapema, Dwirk Yorke anasawazisha dak. Ya 90, na super sub/Baby face assasin, Ole Gunnar Solskjaer anapiga goli la pili dak ya 92.

LAKINI, comeback ya UCL final dhidi ya Bayern Munich pale NOU CAMP, haisahaulika kirahisi na ni the best comeback ever kwa maana ya interval ndogo ya dakika zilizotumika kuiua Baryen Munich; Solskjaer tena, anafunga goli dakika ya 92+. Siwezi kuisahau hii!
 
France v england ktk euro 2004,, babu zizou alipiga vitu hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…