What is the height of the table?

Ukiweza kuiweka hiyo video in form of picha itakuwa vizuri 🤒😎
 
Oh! Algebra again.
Quick soln:
1, Get the narrative arithmetics
(a)Table + Cat - Tortoise = 170 cm
(b) Table - Cat + Tortoise = 130 cm
2, If you add eqn. (a) + (b) = 2 Tables = 300cm
3. Solve for 2 Tables = 300cm; i.e. one table = 150 cm.
Therefore the Table is 150 cm tall.
Zamani tulikuaga tunaandika QED ikimaanisha quite easily done.
 
Oh! Algebra again.
Quick soln:
1, Get the narrative arithmetics (a)Table + Cat - Tortoise = 170 cm
(b) Table - Cat + Tortoise = 130 cm
2, If you add eqn. (a) + (b) = 2 Tables = 300cm
3. Solve for 2 Tables = 300cm; i.e. one table = 150 cm.
Therefore the Table is 150 cm tall.
Zamani tulikuaga tunaandika QED ikimaanisha quite easily done.
 
Mkuu; Kwa nini (kigezo) umegawanya urefu wa Paka kwa mbili? na Urefu wa Kobe vilevile kwa mbili?
 
Mkuu; Kwa nini (kigezo) umegawanya urefu wa Paka kwa mbili? na Urefu wa Kobe vilevile kwa mbili?
Niliangalia nikaona urefu wa kulichopo juu ya meza ni sawa na nafasi iliyopo chini ya meza nikagawa ili kutoa kilichopo juu ya meza ili kupata urefu wa meza
 
Niliangalia nikaona urefu wa kulichopo juu ya meza ni sawa na nafasi iliyopo chini ya meza nikagawa ili kutoa kilichopo juu ya meza ili kupata urefu wa meza
Kwa kuangalia tu (Umetumia macho) inamaana umedhania na hakuna uhakika au
 
Hii nimefanya kwa kichwa nimepata 150, (mchoro 1 + mchoro 2)/2
 
Hii nimefanya kwa kichwa nimepata 150, (mchoro 1 + mchoro 2)/2
Kiongozi; Hesabu ni Logic. Sasa kufanya kwa kichwa ndo inakuwaje? Yan hoja hapa ni kwamba umetumia njia gani (Maths rule/formulae).
 
Kiongozi; Hesabu ni Logic. Sasa kufanya kwa kichwa ndo inakuwaje? Yan hoja hapa ni kwamba umetumia njia gani (Maths rule/formulae).
Ndo logic ya kuangalia mpangilio wa picha, nusu ya urefu wa kwanza + nusu ya urefu wa pili ndo urefu wa table
 
Unazunguuuuka, eqn eqn, no need for that
 
Unazunguuuuka, eqn eqn, no need for that
So, what is needed then? Mkuu, Hesabu ndo utaratibu wake zinadai uoneshe njia umepataje jibu lako. Sio unapiga chabo halafu unatucheka eti tunazunguuuka.
 
So, what is needed then? Mkuu, Hesabu ndo utaratibu wake zinadai uoneshe njia umepataje jibu lako. Sio unapiga chabo halafu unatucheka eti tunazunguuuka.
Njia ya kwenda wapi? Apo km huna image analysis ability utulie
 
Kwa kuangalia tu (Umetumia macho) inamaana umedhania na hakuna uhakika au
x+y =(130-x)+(170-y)
X+Y= 300-x-y
x+x+y+y=300
2x+2y=300
(2x+2y)÷2 =300÷2
x+y = 150 cm
Hapo vipi mkuu nmekupa kitu roho inapenda x+y ndo urefu wa meza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…