What is the real meaning of 'demand and supply' in Forex market?

What is the real meaning of 'demand and supply' in Forex market?

Dit000

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
710
Reaction score
1,041
habari za usiku na swali naomba wanauchumi na forex trades munijibu.

Hivi, supply na demand , ni quantity of goods or services au ni number of people?

mfano, mama lishe akipika chakula say wali na maharage kilo 20, then wateja wakaja wakanunua nusu ya kile chakula na nusu kikabaki, ni dadafulie demand imetumika wapi na supply imetumika wapi, na chakula kilichobaki, tutakiitaje?

huwa nashangaa watu wanaofanya uchambuzi wa soko la fedha katika sarafu kwa kutumia mbinu ya supply na demand, huchukulia demand na suppply ni idadi ya watu.

ningependa tupate maelezo ya kitaalamu kutoka kwa wanauchumi na forex traders, ili tuweze kujifunza maana elemu haina mwisho.

asanteni​
 
Kwenye huo mfano wa chakula nikwamba supply ya huyo mama ya chakula ni kubwa kuliko demand ambayo inamaanisha kuwa uyo mama atatkiwa kuuza chakula kwa bei ya chin kidogo ili amalize sasa suply ikiwa kubwa kuliko demand ndio inashusha thamani ya chakula lakin kwa upande wa demand sasa kama ilivo tafasir ya demand ni kama mahitaji kwahyo turud kwemye mfno wa chakula ikiwa demand ya chakula cha mama ikaongezeka yaan wateja wakawa weng kuliko chakula cha mama hyo ina maana kuwa chakula kinamahitaj makubwa kuliko uwezo wa mama wa kuzalisha chakula kwahyo bei ya chakula itapanda ili mwenye uwezo wa kulipa bei ya juu ndio ale chakula ukihitaj kujfunza zaid kuhusu hlo kwenye upande wa forex unaruhusiwa kuni dm

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye huo mfano wa chakula nikwamba supply ya huyo mama ya chakula ni kubwa kuliko demand ambayo inamaanisha kuwa uyo mama atatkiwa kuuza chakula kwa bei ya chin kidogo ili amalize sasa suply ikiwa kubwa kuliko demand ndio inashusha thamani ya chakula lakin kwa upande wa demand sasa kama ilivo tafasir ya demand ni kama mahitaji kwahyo turud kwemye mfno wa chakula ikiwa demand ya chakula cha mama ikaongezeka yaan wateja wakawa weng kuliko chakula cha mama hyo ina maana kuwa chakula kinamahitaj makubwa kuliko uwezo wa mama wa kuzalisha chakula kwahyo bei ya chakula itapanda ili mwenye uwezo wa kulipa bei ya juu ndio ale chakula ukihitaj kujfunza zaid kuhusu hlo kwenye upande wa forex unaruhusiwa kuni dm

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Umemjibu correctly, ki forex hasa
 
Demand Zone(SD) ile sehemu ambayo watu wengi(Traders) wananunua(Buy), chakunoti ni kuwa hili neno Demand lina depend kwako wewe yaani wewe ndio una Demand mfano tukisema soko la mpunga Kuna Demand maanake soko ndio lina Demand hivyo wewe inabidi u-Supply lakini kwenye FX haipo hivyo tukisema Demand maanake wewe hau-Supply bali na wewe unaingia kwa ku-demand means una BUY.

Demand na Supply zinatengenezwa na idadi ya Traders wanafanya nini muda huo sokoni wengi wakiwa wana BUY inatengeneza DEMAND, waki SELL inatengeneza SUPPLY.

Ku Trade Supply and Demand inabidi
1) Identify Trend(Down/Up one)
2)Ideantify SDZ kwenye large timeframe i.e 4hour then 1h the 15mi
3)Both Trend and SDZ zikienda sambamba zitakwambia BUY/SELL
4)Go to the Candle Signal kutengeneza Entry yako.
 
Demand Zone(SD) ile sehemu ambayo watu wengi(Traders) wananunua(Buy), chakunoti ni kuwa hili neno Demand lina depend kwako wewe yaani wewe ndio una Demand mfano tukisema soko la mpunga Kuna Demand maanake soko ndio lina Demand hivyo wewe inabidi u-Supply lakini kwenye FX haipo hivyo tukisema Demand maanake wewe hau-Supply bali na wewe unaingia kwa ku-demand means una BUY.

Demand na Supply zinatengenezwa na idadi ya Traders wanafanya nini muda huo sokoni wengi wakiwa wana BUY inatengeneza DEMAND, waki SELL inatengeneza SUPPLY.

Ku Trade Supply and Demand inabidi
1) Identify Trend(Down/Up one)
2)Ideantify SDZ kwenye large timeframe i.e 4hour then 1h the 15mi
3)Both Trend and SDZ zikienda sambamba zitakwambia BUY/SELL
4)Go to the Candle Signal kutengeneza Entry yako.
Ni sawa kabisa lakin asiweke kichwan kwamba wale watu wanaobuy na kusell kwenye meta trader tu ndio wanaamua movement ya soko hlo ni broadterm kubwa sana ambalo limeinclude transactions za export and import katika currency husika kiwango cha mishahara kinacholipwa kwa foreigners na wenyej mambo ya mfumuko wa bei yaan alot of things

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye huo mfano wa chakula nikwamba supply ya huyo mama ya chakula ni kubwa kuliko demand ambayo inamaanisha kuwa uyo mama atatkiwa kuuza chakula kwa bei ya chin kidogo ili amalize sasa suply ikiwa kubwa kuliko demand ndio inashusha thamani ya chakula lakin kwa upande wa demand sasa kama ilivo tafasir ya demand ni kama mahitaji kwahyo turud kwemye mfno wa chakula ikiwa demand ya chakula cha mama ikaongezeka yaan wateja wakawa weng kuliko chakula cha mama hyo ina maana kuwa chakula kinamahitaj makubwa kuliko uwezo wa mama wa kuzalisha chakula kwahyo bei ya chakula itapanda ili mwenye uwezo wa kulipa bei ya juu ndio ale chakula ukihitaj kujfunza zaid kuhusu hlo kwenye upande wa forex unaruhusiwa kuni dm

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
asante mkuu, nami niko interested sana na forex na kuja DM
 
asante mkuu, nami niko interested sana na forex na kuja DM
google ilinipa hivi, ila hii maana kwenye forex changamoto

DEMAND22.PNG
 
suppy. is amount availabe
demand ,is amount that is wanted
MOJA...9090.PNG
 
Wataalamu wa forex, hiki kipindi cha heka heka za Russia na Ukraine mnakitumia vipi ku download pesa huko trading zenu??
 
Kwenye hiyo movement Hakuna currency zinazopanda, commodities etc.? ..... Kuna mahala nilisoma humu humu jf.. Kuhusu ku trade news.. Sasa hapo unawezaje kupata pesa kwa situation iliyopo
 
Kwenye hiyo movement Hakuna currency zinazopanda, commodities etc.? ..... Kuna mahala nilisoma humu humu jf.. Kuhusu ku trade news.. Sasa hapo unawezaje kupata pesa kwa situation iliyopo
Wew unapenda kutrade news??
 
Pair zinatembea inategemea na uharaka wako
IMG_20220309_173430_182.jpg
 
Back
Top Bottom