Mimi bwana, nina mtazamo tofauti kidogo.
Naona kama kutafuta dhumuni la maisha yako kunakufanya uwe 'mtumwa wa kutafuta dhumuni la maisha yako'.
Hilo dhumuni halipo,
Wewe fanya tu yale yanayokufurahisha.
Sharti tu yale muhimu kama kipato, afya nk, uyazingatie.