Komote naishi muhimu kuwe na binadamu hospital na jelaNature acha ibaki kuwa nature mkuu, hata wao wanajua japo watapinga.
Utaweza kuishi mkuranga mkuu? Huku kuanzia 25k na kuendelea.
Na huyu ndie mwanamke naemhitaji sana kwenye hii maisha, nikishaona dalili za kupangwa foleni huwa najua kabisa hapa si salama na sistahili kuendelea kuwepo.Najua inaweza kuonekana kama chai
Lakini hadi sasa sijawahi kucheat
Sijawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wawili kwa pamoja
Sawa mkuu karibuKomote naishi muhimu kuwe na binadamu hospital na jela
Umalaya malaya tuIla hii “13” ndo iko vizuri zaidi 😝😝
Na huyu ndie mwanamke naemhitaji sana kwenye hii maisha, nikishaona dalili za kupangwa foleni huwa najua kabisa hapa si salama na sistahili kuendelea kuwepo.
Mnapatikana wapi?
Hongera zako kwa kujiheshimu, upo kwenye level ya juu kabisa ya kujiheshimu na kumheshimu mwenza wako. Perfect 😘Watakuwepo waaminifu,wenye kujiheshimu,msimamo na upendo wa kweli
Lakini sijui ni wapi kwasababu hata marafiki zangu wachache nilionao najua hawana mwanaume mmoja...ni mimi tu nilikuwa naonekana wa ajabu kwa upande wao kuwa na mwanaume mmoja
Hongera zako kwa kujiheshimu, upo kwenye level ya juu kabisa ya kujiheshimu na kumheshimu mwenza wako. Perfect 😘
Hongera mkuu
GOD BLESS U
Basi wewe ni namba 2 mkuu🤣🤣To me it always happens unplanned....
Yani nilishajiambia naacha lkn wapiii...
Head count yangu hata haielezeki...
Mwaka huu nilijiambia nauanza kwa kutulia, ila kuna ki intern nimeflirt nacho tu kidogo tayari kikalainika, nakiambia twende tukachill mahali kinaniambia hakitoki labda niende kwake.
Sasa mm ni nani mpaka nikatae kumbless mtoto mzuri? Na kalivyo kazuri!!!
Kwa kweli kwa sisi wanaume, huwa hatucheat bali tunatekeleza nature ilivyo tu, maana ndivyo tulivyoumbwa!!
Wala hakuna new experience nisiyoijua mkuu, yani suala la kucheat huwa linanitokea automatic tu, situmiagi nguvu kuuubwa, sihongi .Basi wewe ni namba 2 mkuu🤣🤣
Ulemavu huo...Najua inaweza kuonekana kama chai
Lakini hadi sasa sijawahi kucheat
Sijawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wawili kwa pamoja
Ulemavu huo...