Umenikumbusha kuna demu alikuwa akisex na mwanaume mmoja, akasema shusha chuma chini sa isije kuwa chuma hicho :biggrin:Ngoja nisihesabu moja mbili tatu kama 6 medications daily, temporary hope getting better. Sasa mazoezi pia ni medication, kama ni hivyo basi mimi huwa nabeba vyuma 3x a week na cycling
masaburi pia unayapaka maparachichi??
We acha tu hadi masaburi ndugu yangu chezeya medication ya mzizi mkavu we nikimaliza nakunza juice ya pilipili mdalasini kwa siku kumi
Nimeamini sasa ..............ama kweli MziziMkavu ni noooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooma
ARVs. . .
Naishi kwa matumaini.
Yule jamaa anafahamu?
Yupi huyo. . . ?
Yule asali Wa moyo wako
Hua tunakunywa wote asubuhi.