What Next? La CAG linapita na limeshapita, Mwamba maarufu

What Next? La CAG linapita na limeshapita, Mwamba maarufu

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Hii ilikuwa ni kama last bullet yao wakitegemea kwamba wangemaliza kabisa lkn imebumu, Mwamba ni maarufu kuliko hata alivyokuwa hai, sasa nini kinakuja? Watafanya nini tena kama wamekwenda mpaka White House USA kujaribu kupambana na Mwamba lkn bado wameshindwa, nauliza what comes next ? Haijawahi kutokea katika Historia ya Dunia hii Raisi wa nchi huru anakwenda kumuongelea vibaya raisi aliyekwisha fariki Dunia, tena siyo kwa mafumbo bali live akitaja jina akitegemea labda Dunia nzima ingempongeza, lkn wapi hakuna hata anayemjua, hata hapo Kenya tu hakuna aliyeripoti chochote.

Nauliza what is next ?
 
ni bora wamuache tu aendelee kujipumzikia huko aliko kuliko wanavyojitahidi kumuchafua.
Ni kweli alikuwa na mabaya yake lakini alijitahidi sana kuijenga Tanzania.
 
ni bora wamuache tu aendelee kujipumzikia huko aliko kuliko wanavyojitahidi kumuchafua.
Ni kweli alikuwa na mabaya yake lakini alijitahidi sana kuijenga Tanzania.
Alijitahidi kuiba TANROADS kupitia co. Yake ya MAYANGA.
 
272978188_925099925044845_8668279499972927818_n.jpg
 
CAG keshamaliza kuimba ngonjera zake kapita Hakuna hatua yeyeto itakayochukuliwa
 
Magufuli aliingia mpaka kwenye uvungu wa mioyo ya Watanzania walio wengi.

Hata wafanyaje hawawezi kuuondoa upendo huu tulionao kwake.

Yeyote anayemtukana na kumdhalilisha tunamtazama kwa ukaribu. Tutakutana naye 2025.
 
Kuanzia mwakani CAG ataanza kutupa report zao, tunazisubiri.
 
Wanasema kila mwaka cag atakua na kipengele cha sukuma gang
 
Back
Top Bottom