second option......1,Should I write about politics?
-Base on leading party?
-Base on opposional paties?
2, Should I write about relationship and sex affairs?
- Looking for the ckicks, some body's wife?
-Exposing spouse secreties?
- Showing that I'm left by some one?
3, Should I write about entertainment and sports?
-Cross cutting issues in the sphere?
NB
What I need from you is just a way and not otherwise coz I know pigheaded will turn up and reacting negatively!!
Please stop being an harphazard respond accordinly and if nothing to respont keep quite!.
kujidanganya kuwa?????? go straight to the point kwamba katika bandiko comment yangu nimedanganya wapi?soma sheria vizuri za jf
acha kujidanganya
Anza leo kufanya Survey utakubaliana na mimiThibitisha haya mkuu
Nimeangalia notable members wenye likes nyingi sjaona ukweli wa kauli yako.Anza leo kufanya Survey utakubaliana na mimi
Ndyo nani Labda?Pingana na Cocochanel.
1. Tukana Serikali
2.Diss Serikali
3.Ponda kila kinachofanywa na serikali
4.Badala ya Magufuli, tumia neno Sizonje
5.Badala ya Makonda tumia neno Bashite
6.Usikosoe chochote kuhusu watu wa Arusha au Kilimanjaro, wape masifa ya kutosha
FANYA HAYO USIPOPATA "LIKES" ZA KUMWAGA MPAKA UKAZIKIMBIA NAKUPA LAKI MOJA
N.B Ukifanya hayo hata BAN Hutapata maisha yako yote humu JF
Notable kama yupi, nakupa sample kidogo. @AssadssyriaNimeangalia notable members wenye likes nyingi sjaona ukweli wa kauli yako.
Yataheshimiwaje mawazo yake ikiwa kashawaita member vichwa vya nguruwe..!? (pighead)heshimu mawazo yake mkuu, huoni kwamba its just a matter of time kuna watu wataanza kulipwa humu kwa kufanya review ya biashara za watu au kusupport matangazo ya biashara.
Hauoni instagram watu wanalipwa kwa kutangazia biashara wenzao? Basi ndio huko huko jf inaendea, japo hapa itafanyika kwa siri siri, wewe hutojua flani anampigia promo flani, in the backend biashara zitaanza fanyika very soon, yani very soon.
Sio wengi ila ndo watu wenye juhudi kubwa ya kukomenti kwenye mitandao ya kijamii, nadhani sababu kubwa wengi wao wanakuwa madukani tu, kwenye grocery, vijiwe vya kitimoto na mabaa kwahiyo wanaweka juhudi kubwa ya matusi mitandaoni