what should i do..........

labda unasema kweli ila sijui....mi sioni kam yuko sawa.....habembelezi..hata...
HAHAHAHAHA!

kwa hiyo unataka KUBEMBELEEEZWAAAAAAA!

ngoja nikaibue sredi ya mj1 ya KUBEMBELEZA
 
sikiliza we dogo,
hitaji si lazima liwe hela,again VIKEISS KARUDI na tunae hapa

Vikesi (damn majina mengine magumu lol)...hebu jibu hoja...au kwa kuwa we ni mzaliwa wa CCM na yeye TANU, mnashindwa kuimba wimbo mmoja? Are you too much demanding...anything? We mwenyewe uko romantic kwake? Unajuaje?
 
Vikesi (damn majina mengine magumu lol)...hebu jibu hoja...au kwa kuwa we ni mzaliwa wa CCM na yeye TANU, mnashindwa kuimba wimbo mmoja? Are you too much demanding...anything? We mwenyewe uko romantic kwake? Unajuaje?
The Following User Says Thank You to Asprin For For The Bolded Lines:

Teamo (Today)​
 
MFALME WA AMANI kwa ridhaa yake mwenyewe anaenda nyumbani kubembeleza mtoto
 

LABDA NNA UDHAIFU WANGU SIKATAI LAKINI THIS KILLS ME SMTIM UNAONA KABISA KWAMBA HUYU MTU ANANIITAJI LAKINI ANAVYOJIKAUSHA MAPAK NIANZE MIMI.....yn smtiz nakumbuka kabla hatujafunga ndoa hakuwa hivi au ndo wasaidizi.....jamni au ni vipi....na hata sielewi
 
Ucjali that is very simple ''mwambie wewe unaitwa '' Vkeisy A.K.A I lOVE U'' na ungependa akuite hivyo kila wakati!
 
labda unasema kweli ila sijui....mi sioni kam yuko sawa.....habembelezi..hata...

Sasa bibie naommba utulie vizuri kwenye ndoa maana hiyto ndoa inaonekana ni changa bado, tulia na useme na mwenzio kwa uwazi, pia nakushauri uachane na mapenzi ya kitabuni, internet, na tamthilia zile za kuanzia saa nne hahahaaaaaaaaaa
hayo unayoishi sasa ni maisha halisi kama unampenda mume wako kwa dhati basi tafuta njia ya kumfanya aelewe unachotamani au kukipenda. tofauti kubwa ya wanaume na wanawake ni kuwa me ni rahisi sana kujifunza mambo ya malavidavi na ni rahisi pia kubadilika ..... wanasikia raha.... so be positive bibie!
 
ahahahahahahahahahahahahahahahah!
NIMEPITA TU HAPA

samahani kwa kucheka ndugu,

kuna kitu nimekumbuka
hahahahahaaaaaaaaaa! yebooo!!
hii ni habari binafsi. CArina Ti
 
Hiyo ya kutokuwa romantic imeanza siku za karibuni au tangu muanze mahusiano yenu?

tulivyokuwa mwanzo sio kwamba alikua romantic saaaaan lakin siku hizi ndo kabsaaaaaaa...hata hug na kisses zile za chumbani tu zile zimekua shida....smtimz i real nid himmmmmmmmm utaskia kesho mi nimechoka sa lini hajachokaaaa....mpaka nianze mimi......mi namfanyia hiv na vile lakini yeye yupo tuu jamani yani naona mfumo dume mis hata sielewi.....yani sifiki kule nilikokuwa nafika zamani.....juzi karudi kalewa....dah amejitahidi kuanzia usiku ule hadi asubuhi tatu....although sikufika nilipokuwa nakwenda i was satsified kiasi chake mwanzo hakuwa hivyo.....bila 5 6 2likuwa hatujaamka yani mpak aasubuhi sa tatizo nini....
 
hii sredi inanipasua kichwa,nimeamua kurudi hapa KWA RIDHAA YANGU MWENYEWE


HABARR ZENYOO BINAFSI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…