quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 165
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayor quimby kumbe huwa unakwenda Rumors! bado hawajaibomoa tu?
Ni katika pitapita zangu za hapa na pale mkuu nikakutana na hili wazo somewhere nikaona niwashirikishe<!-- google_ad_section_end -->Mayor quimby kumbe huwa unakwenda Rumors! bado hawajaibomoa tu?
halafu siku mliyokuwa mkiachiwa baada ya kuhitimu kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni nini?Siyo kweli, labda ungesema What Most Men Think. Ulivyoiweka unamaanisha wanaume wote wanawaza hii kitu muda mwingi. Kama ulipitia JKT(Jeshi la Kuharibu Taalamu) enzi hizo utakubaliana nami kuwa siku za mwanzo za recruitment (kuruta) unaweza kupitisha miezi mitatu bila kuhisi charge huko kunako kwa sababu mawazo hayapo kabisa huko.
mh wadau acheni kujidhalilisha wanaume hatuwazi ngono kiivyo.